kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,694
- 20,648
Nimejikuta naangalia kwa bahati mbaya hiki kipindi, for sure judges ni wehu. Wanalazimisha presenters wanaokuja jaribu vipaji vya utangazaji wa magazeti lazima wapayuke kama Zembwela au Maulidi Kitegne, huo ni ujinga mkumba sababu kila mtu ana style yake.
Lily Omy ni ujinga umemjaa kichwani, Baba levo ni mjinga mwandamizi, Abdalah Mtiga roho mbaya sana, Edo Kumwembe sijui amefikaje hapo alipo, Amy irlGs at least ila apunguze kumcopy Fety.
Nina uhakika hata wao wangefanyiwa usahili kwa namna wanayofanya wasingefika kokote!
Lily Omy ni ujinga umemjaa kichwani, Baba levo ni mjinga mwandamizi, Abdalah Mtiga roho mbaya sana, Edo Kumwembe sijui amefikaje hapo alipo, Amy irlGs at least ila apunguze kumcopy Fety.
Nina uhakika hata wao wangefanyiwa usahili kwa namna wanayofanya wasingefika kokote!