kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 13,141
- 15,381
Kama ilivyo kawaida kwa kiongozi wa Wagner Group kujitokeza hadharani na kudai mambo yasiyoyokuwa na uhalisia, mara hii Tena ameweza kujitokeza hadharani na kudai hadharani kwamba wafungwa wa kuokoteza magerzani wanaounda kundi la mamluki wa Wagner wameiteka bakhumut.
Matamshi haya kutoka Kwa mkuu huyu anayetajwa kuwa na matatizo ya akili,yameonekana kuwa na lengo la kuongeza molari kwa askari wa urusi wanaoonekana Kuchoka sana kutokana na mkong'oto wanaotembezewa, lakini kiuhalisia bakhumut inabaki kuwa fupa gumu huku ikiendelea kunywa damu za askari warusi wengi.


Ukrainian warriors are advancing on the flanks in the suburbs of the Donetsk region’s Bakhmut and are close to tactically encircling the city.
The relevant statement was made by Commander of the Ground Forces of the Armed Forces of Ukraine, Colonel General Oleksandr Syrskyi, an Ukrinform correspondent reports, referring to Military Media Center.
According to Syrskyi, Ukrainian forces are now controlling a small part of Bakhmut, but its defense is very important, as this allows them to enter the city immediately as the situation changes.
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Matamshi haya kutoka Kwa mkuu huyu anayetajwa kuwa na matatizo ya akili,yameonekana kuwa na lengo la kuongeza molari kwa askari wa urusi wanaoonekana Kuchoka sana kutokana na mkong'oto wanaotembezewa, lakini kiuhalisia bakhumut inabaki kuwa fupa gumu huku ikiendelea kunywa damu za askari warusi wengi.



Ukrainian warriors are advancing on the flanks in the suburbs of the Donetsk region’s Bakhmut and are close to tactically encircling the city.The relevant statement was made by Commander of the Ground Forces of the Armed Forces of Ukraine, Colonel General Oleksandr Syrskyi, an Ukrinform correspondent reports, referring to Military Media Center.
According to Syrskyi, Ukrainian forces are now controlling a small part of Bakhmut, but its defense is very important, as this allows them to enter the city immediately as the situation changes.
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app


