Pearce
JF-Expert Member
- Dec 15, 2018
- 577
- 1,381
Wakati wakiendelea kupelekewa moto unaowafanya vijana kuanza kukimbia Kwao wakijifanya Raia na wengine wakitoroka hadi na Baiskeli.
Kichapo kimekua kizito Kiasi hata askari mmoja wa Ukraine kuogopwa kuwa tishio na kukimbiwa na Askari wenye Vifaru na infantry waliopewa lifti.
Sasa wamerudi kwenye mchezo wao wa kujaribu kuhujumu raia. Wameshambulia kwa kombora la masafa marefu (sababu ni hatari hawawezi tena sogeza pua zao karibu washambulie kukwepa HIMARS) Mtambo huo uliopo mji wa Kryvih Ri ili kujaribu chochea mafuriko kuangamiza Raia wasio na hatia.
Na log off Z
Kichapo kiendelee, Warusi wa buza na viunga vyake ruksa kulia nyuma ya keyboard (Ni vizuri kwa afya na pia hakuna anayekuona).
Link:-
Kichapo kimekua kizito Kiasi hata askari mmoja wa Ukraine kuogopwa kuwa tishio na kukimbiwa na Askari wenye Vifaru na infantry waliopewa lifti.
Sasa wamerudi kwenye mchezo wao wa kujaribu kuhujumu raia. Wameshambulia kwa kombora la masafa marefu (sababu ni hatari hawawezi tena sogeza pua zao karibu washambulie kukwepa HIMARS) Mtambo huo uliopo mji wa Kryvih Ri ili kujaribu chochea mafuriko kuangamiza Raia wasio na hatia.
Na log off Z
Kichapo kiendelee, Warusi wa buza na viunga vyake ruksa kulia nyuma ya keyboard (Ni vizuri kwa afya na pia hakuna anayekuona).
Link:-
Zelenskiy condemns ‘vile Russian act’ after strike on dam floods his home city
Inhulets River rises estimated 2.5 metres after cruise missiles strike dam, flooding streets of Kryvyi Rih
www.theguardian.com