Najaribu kufikiri vichwa vya habari 2014 baada ya Jaji Warioba kumaliza kazi yake kwa mafanikio makubwa na kuhakikisha kipengele cha kuruhusu mgombea binafsi katika chaguzi zetu zote. My take: tutaweza kupata wagombea makini wasiokubaliana na sera za vyama vilivyopo