Chukua mshamba number 1 wa Kagera na mjanja number one wa Moro waweke eneo moja la jiji kali ambayo wote sio wenyeji.
Rudi baada ya mwaka kuwaona. Umewahi kujiuliza kwa nini matapeli wengi ni Wahaya?. Na unakuta kaja mjini ashakuwa mkubwa.
Na wanawatapeli hao hao wajanja.