Waraka mfupi kwa Pascal Mayala

ngaiwoye

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
2,438
Reaction score
3,771
Nimekaa hapa nabarizi natazama runinga ya Taifa zamani TVT kwa sasa TBC namwona pascal Mayala katika banda la TCRA...Pascal kwanini dada wa mwisho ambae ni mteja katika banda hilo mmeandika jina lake JOSEPHINE PLAYGOD? Ni PLAYGOD ama ni PRAYGOD?? Hili tatizo la "R" na "L" kwasasa linashika kasi. Jamani waandishi wabobevu kama nyinyi mtusaidie liishe...
 
Ndo hasi waraka?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…