'War zone' mtaani

gnassingbe

JF-Expert Member
Jun 14, 2015
4,826
3,577

Habari wandugu ningependa kujuzwa juu ya suala linalonitatiza kuna jirani yangu anaendeleza eneo lake ila shida ni kwamba limejaa mawe makubwa sana sasa alileta mashine ya kupasua siku kadhaa zilizopita zina mikelele lakini sio shida si ndo maendeleo hayo sasa naona hali imekuwa mbaya baada ya kuanza kutumia baruti hapo sasa! vipande vikubwa vya mawe vinaruka hadi kwenye nyumba zetu yaani ni hatari naomba msaada hivi matumizi ya baruti yakoje na jee ni sawa yaani ni "war zone" milipuko,vipande vya mawe vinarushwa umbali kama mita ishirini hadi thelathini maisha ya watoto wetu yapo hatarini.Je ni sahihi kwenye makazi ya watu?
 
Umbea mtupu. Unaishi maporini halafu unakuja kulalamika. Ni Mtanzania ameshawahi kusikia anachoongea huyu mleta mada humu!!??? Eti "War Zone"!!!
 
Umbea mtupu. Unaishi maporini halafu unakuja kulalamika. Ni Mtanzania ameshawahi kusikia anachoongea huyu mleta mada humu!!??? Eti "War Zone"!!!
Huna ishu wewe umevurugwa naishi porini mie fisi wee kichaa nini? mawe yako porini acha ulofa.
 
Huna ishu wewe umevurugwa naishi porini mie fisi wee kichaa nini? mawe yako porini acha ulofa.
Kuna sehemu gani za makazi Dar es salaam au Mkoa wowote watu wanapiga hizo unazoziita baruti za "War Zone" mitaani!!!??? Unapewa ushauri wa kutoa taarifa kwa vyombo husika, unakuja na hoja ya penyeza Rupia. Kama sio ushambenga ni nini Nyamafu wee!!!
 
Kuna sehemu gani za makazi Dar es salaam au Mkoa wowote watu wanapiga hizo unazoziita baruti za "War Zone" mitaani!!!??? Unapewa ushauri wa kutoa taarifa kwa vyombo husika, unakuja na hoja ya penyeza Rupia. Kama sio ushambenga ni nini Nyamafu wee!!!
Teh!Teh!Teh! Mi ndo nimeleta taarifa ya huo utaratibu ambao si wa kawaida nashangaa unaleta u much know!Haloo!Hekaheka ukistaajabu ya musa huyajui ya firauni anyway u are still a loser!Punk!
 
Teh!Teh!Teh! Mi ndo nimeleta taarifa ya huo utaratibu ambao si wa kawaida nashangaa unaleta u much know!Haloo!Hekaheka ukistaajabu ya musa huyajui ya firauni anyway u are still a loser!Punk!
Haya sasa mwanaume mzima na familia bado unatumia neno "Hallooo" seriously!!!!!!!! Daaah..I rest my case.
 
Back
Top Bottom