Mzee Mwenzangu
Senior Member
- Dec 23, 2013
- 190
- 168
Kwa wenye uelewa naomba wanidadavulie hili maana huwa sipati picha.
Wakati wa chaguzi (hasa hizi ndogo)huwa nasikia malalamiko kutoka vyama vya upinzani inatakiwa kuboresha daftari la wapiga kula ili waweze kushinda. Haya sijawahi kuyasikia ccm.
Je wapigakula vijana, nikimaanisha waliokuwa chini ya miaka 18 ktk uchaguzi wa mara ya mwisho wote huwa ni wapinzani?
Je hawa wasio na uwezo wa kupiga kura kwa sababu kama za ugonjwa, safari na majukumu mengine huwa wote ni wapinzani?
Je wanatangulia mbele ya haki wote huwa ni wapinzani.
Naomba tena mwenye uelewa afafanue, maana hii inawaathili wapinzani pekee.
Karibuni tuelimishane.
Wakati wa chaguzi (hasa hizi ndogo)huwa nasikia malalamiko kutoka vyama vya upinzani inatakiwa kuboresha daftari la wapiga kula ili waweze kushinda. Haya sijawahi kuyasikia ccm.
Je wapigakula vijana, nikimaanisha waliokuwa chini ya miaka 18 ktk uchaguzi wa mara ya mwisho wote huwa ni wapinzani?
Je hawa wasio na uwezo wa kupiga kura kwa sababu kama za ugonjwa, safari na majukumu mengine huwa wote ni wapinzani?
Je wanatangulia mbele ya haki wote huwa ni wapinzani.
Naomba tena mwenye uelewa afafanue, maana hii inawaathili wapinzani pekee.
Karibuni tuelimishane.