Wapinzani wa Tanzania mnasimamia nini?

NJALI

JF-Expert Member
Jan 9, 2014
1,534
1,090
kuna mambo mengine yanachekesha, mengine yanaonesha picha halisi kuwa hawa ndugu zetu WA upinzani hawajui wanacho kisimamia.

Hawana uelekeo wala dira, ni watu WA kuvizia Serikali imefanya nini, ili wapinge!!!

Walimtuhumu sana Mh. Nappe kuwa kaminya bunge live!! Kejeli, lugha chafu na majungu walitupwa juu yake.

Leo Rais ameamua kumpumzisha Nape, lakini bado wana mlaumu tena!

Hao hao walituaminisha kuwa Lowassa ni fisadi, Leo hii wanae na wanamsifia kuwa MTU safi!!

Hao hao walituaminisha kuwa Magufuli anatekeleza Ilani ya Upinzani, walio yakemea ndio anayatatua , sasa miaka miwili haijaisha wameanza kumnanga, kumuita majina yasiyofaa!!

Walimuita Mzee Kikwete dhaifu, tena bungeni,Leo amekuja imara hawamtaki pia!!

MAONI YANGU
Hata ningekuwa Rais Leo siwezi fuata ushauri wa watu wasiotambua wana toka wapi, wako wapi na wanaenda wapi. Tumshauri Rais mambo yatakayo leta dira na uelekeo MZIMA WA taifa letu. Sio kila siku kuishi kwa kuvizia matikio.

MF. Walio kosa mikopo elimu ya juu, nini kifanyike wapate?

Watumishi WA umma walio ongezewa Riba kwenye mikopo yao ya Lian board nini kifanyike? NI sawa kisheria?

Bunge mbona halioneshwi live?

TBC mbona haitumiwi na vigogo kutolea matamko? Badala yake wanakwenda...?

TUWE NA MJADALA WA KITAIFA SIO KUJADILI MTU, HATA LEO MAKONDA KWA MFANO AKIONDOLEWA UTANUFAIKA NINI WEWE UNAEKATWA NA BODI 15% ITAPUNGUA?
 
kuna mambo mengine yanachekesha, mengine yanaonesha picha halisi kuwa hawa ndugu zetu WA upinzani hawajui wanacho kisimamia.

Hawana uelekeo wala dira, ni watu WA kuvizia Serikali imefanya nini, ili wapinge!!!

Walimtuhumu sana Mh. Nappe kuwa kaminya bunge live!! Kejeli, lugha chafu na majungu walitupwa juu yake.

Leo Rais ameamua kumpumzisha Nape, lakini bado wana mlaumu tena!

Hao hao walituaminisha kuwa Lowassa ni fisadi, Leo hii wanae na wanamsifia kuwa MTU safi!!

Hao hao walituaminisha kuwa Magufuli anatekeleza Ilani ya Upinzani, walio yakemea ndio anayatatua , sasa miaka miwili haijaisha wameanza kumnanga, kumuita majina yasiyofaa!!

Walimuita Mzee Kikwete dhaifu, tena bungeni,Leo amekuja imara hawamtaki pia!!

MAONI YANGU
Hata ningekuwa Rais Leo siwezi fuata ushauri wa watu wasiotambua wana toka wapi, wako wapi na wanaenda wapi. Tumshauri Rais mambo yatakayo leta dira na uelekeo MZIMA WA taifa letu. Sio kila siku kuishi kwa kuvizia matikio.

MF. Walio kosa mikopo elimu ya juu, nini kifanyike wapate?

Watumishi WA umma walio ongezewa Riba kwenye mikopo yao ya Lian board nini kifanyike? NI sawa kisheria?

Bunge mbona halioneshwi live?

TBC mbona haitumiwi na vigogo kutolea matamko? Badala yake wanakwenda...?

TUWE NA MJADALA WA KITAIFA SIO KUJADILI MTU, HATA LEO MAKONDA KWA MFANO AKIONDOLEWA UTANUFAIKA NINI WEWE UNAEKATWA NA BODI 15% ITAPUNGUA?
Haki...! Muda wake upo! Gharama zake zipo! Kuna msemo unaosema HAKI inacheleweshwa tu! Na kamwe haiwezi kuzuiliwa!
 
kuna mambo mengine yanachekesha, mengine yanaonesha picha halisi kuwa hawa ndugu zetu WA upinzani hawajui wanacho kisimamia.

Hawana uelekeo wala dira, ni watu WA kuvizia Serikali imefanya nini, ili wapinge!!!

Walimtuhumu sana Mh. Nappe kuwa kaminya bunge live!! Kejeli, lugha chafu na majungu walitupwa juu yake.

Leo Rais ameamua kumpumzisha Nape, lakini bado wana mlaumu tena!

Hao hao walituaminisha kuwa Lowassa ni fisadi, Leo hii wanae na wanamsifia kuwa MTU safi!!

Hao hao walituaminisha kuwa Magufuli anatekeleza Ilani ya Upinzani, walio yakemea ndio anayatatua , sasa miaka miwili haijaisha wameanza kumnanga, kumuita majina yasiyofaa!!

Walimuita Mzee Kikwete dhaifu, tena bungeni,Leo amekuja imara hawamtaki pia!!

MAONI YANGU
Hata ningekuwa Rais Leo siwezi fuata ushauri wa watu wasiotambua wana toka wapi, wako wapi na wanaenda wapi. Tumshauri Rais mambo yatakayo leta dira na uelekeo MZIMA WA taifa letu. Sio kila siku kuishi kwa kuvizia matikio.

MF. Walio kosa mikopo elimu ya juu, nini kifanyike wapate?

Watumishi WA umma walio ongezewa Riba kwenye mikopo yao ya Lian board nini kifanyike? NI sawa kisheria?

Bunge mbona halioneshwi live?

TBC mbona haitumiwi na vigogo kutolea matamko? Badala yake wanakwenda...?

TUWE NA MJADALA WA KITAIFA SIO KUJADILI MTU, HATA LEO MAKONDA KWA MFANO AKIONDOLEWA UTANUFAIKA NINI WEWE UNAEKATWA NA BODI 15% ITAPUNGUA?
Ukutaaaaaa
 
Na majibu yatakupa picha zaidi, kuwa hujakosea kuwauliza.

Wanatia aibu nchi yetu, yaani tusio kwenye vyama tunawashangaa. Wanajiona wajuaji kumbe kapuuuuuti, hawatetemeshi wakaonekana wamo.

Wadakiaji tu, Rais akikaa kimya mwaka mzima nao watakaa kimya.

Udaku, tamaa wao wanajali matumbo yao tu na kuvutana kwenye uongo.

Watanyooka tu
 
Mleta uzi sijui unaongea nini, hivi unajua zamani tulikuwa tunasema nchi za magharibi ni mabeberu lakini hivi leo ndio tunawategemea kwenye bajeti yetu? Hii bank ya dunia ndio tulikuwa tunasema inatumiwa na nchi za magharibi kutupa masharti magumu. Leo hii ndio mkuu analazimisha tumjadili rais wa bank hiyo kama mkombozi wetu. Morocco tuligoma kushirikiana nayo kuhusu suala la sahara magharibi, juzi mfalme wao kaja hapa tukaishia kujichekesha na kumuomba atujengee uwanja na msikiti.
 
Bashite must Go mengine baadae, kama hili dogo anashindwa makubwa ataweza tuanze na hili
 
kuna mambo mengine yanachekesha, mengine yanaonesha picha halisi kuwa hawa ndugu zetu WA upinzani hawajui wanacho kisimamia.

Hawana uelekeo wala dira, ni watu WA kuvizia Serikali imefanya nini, ili wapinge!!!

Walimtuhumu sana Mh. Nappe kuwa kaminya bunge live!! Kejeli, lugha chafu na majungu walitupwa juu yake.

Leo Rais ameamua kumpumzisha Nape, lakini bado wana mlaumu tena!

Hao hao walituaminisha kuwa Lowassa ni fisadi, Leo hii wanae na wanamsifia kuwa MTU safi!!

Hao hao walituaminisha kuwa Magufuli anatekeleza Ilani ya Upinzani, walio yakemea ndio anayatatua , sasa miaka miwili haijaisha wameanza kumnanga, kumuita majina yasiyofaa!!

Walimuita Mzee Kikwete dhaifu, tena bungeni,Leo amekuja imara hawamtaki pia!!

MAONI YANGU
Hata ningekuwa Rais Leo siwezi fuata ushauri wa watu wasiotambua wana toka wapi, wako wapi na wanaenda wapi. Tumshauri Rais mambo yatakayo leta dira na uelekeo MZIMA WA taifa letu. Sio kila siku kuishi kwa kuvizia matikio.

MF. Walio kosa mikopo elimu ya juu, nini kifanyike wapate?

Watumishi WA umma walio ongezewa Riba kwenye mikopo yao ya Lian board nini kifanyike? NI sawa kisheria?

Bunge mbona halioneshwi live?

TBC mbona haitumiwi na vigogo kutolea matamko? Badala yake wanakwenda...?

TUWE NA MJADALA WA KITAIFA SIO KUJADILI MTU, HATA LEO MAKONDA KWA MFANO AKIONDOLEWA UTANUFAIKA NINI WEWE UNAEKATWA NA BODI 15% ITAPUNGUA?
Kudhulumu ni dhambi haijalishi unayemdhulumu ni Nani. Yaani tuseme ukweli hata mlevi ama mtu mchafu siku akidiriki akabadili tabia yake hata kama ni kwa dakika basi apewe sifa sitahili kwa wakati huo. Nape alipovuruga alichanwa mubashara maana ilikuwa stahili kwa wakati huo. Na leo kafanya vyema lazima apewe sifa sitahili kwa hilo moja jema haijalishi alibahatisha ama laa.
Sasa wewe kwa akili yako unageneralize ubaya na uzuri kwa wakati mmoja.Kila kosa ama jema hukumu inatolewa. Nahisi humu namo umeingia kwa dharula kwa kuwa hakuna mitihani ya kuingilia humu laiti ingekuwapo ungekuwa msoma post za wenzako tu. Pole.
 
Ni ujinga kuficha madhaifu ya serikali kupitia wapinzani. Tokalini ulisikia serikali ikafuata ushauri wa wapinzani. Serikali inakila kitu tunataka matokeo chanya.
 
Mbona unachekesha? Unaposema MAKONDA akitumbuliwa nini kitaongezeka kwa anayekatwa kodi! Huoni kama ni mambo ya ajabu na ya ovyo kufumbia macho tabia/matendo ya kugushi na matumizi mabaya ya madaraka?So kila kitu kitafsiriwe kwa fedha.Amani,hofu,viburi na vinginevyo ambavyo havipimwi kwa thamani ya pesa vina umuhimu mkubwa.Hata hivyo unavyoona vina maana haviwezi patikana kama jamii haijakaa sawa.
 
Mimi nimewaomba mara kadhaa hawa VVU (Vyama Vya Upinzani ) hasa CDM kuwa wanikumbushe ile waliyoiita LIST OF SHAME, lakini mpaka leo hii nashangaa wamenichunia tu.
Kiukweli, Rais yeyote aliye makini hawezi kupoteza muda kusikiliza ushauri wa watu wabovu na wasiojua kusimamia wanachokiamini na chenye maslahi kwa Taifa.
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kutuasa kwa katiba hii atakuja kutokea mwendawazimu akafanya mambo yake.ndo tunachokiona.
 
Mimi nimewaomba mara kadhaa hawa VVU (Vyama Vya Upinzani ) hasa CDM kuwa wanikumbushe ile waliyoiita LIST OF SHAME, lakini mpaka leo hii nashangaa wamenichunia tu.
Kiukweli, Rais yeyote aliye makini hawezi kupoteza muda kusikiliza ushauri wa watu wabovu na wasiojua kusimamia wanachokiamini na chenye maslahi kwa Taifa.
Kama ccm mpaka leo wameshindwa kuthibitisha ufisadi wa lowassa Chadema ni nani mpaka athibitishe?
 
Back
Top Bottom