IsayaMwita
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 1,127
- 140
walijua kuwa upinzania nguvu yao ni ndogo ni kelele za chura.
chama(CHADEMA) hiki Makini?
Mungu inusuru Tanzania na mikono ya hawa mafisadi.
Kwa Danda na David ndiyo kielelezo cha Chadema kufa ama kuna jambo zaidi ya hili ambalo silijui ? Kama David na Danja wanakose wanasimamishwa kazi na hawaja fukuzwa uanachama utasemaje CCM wanaweza ?Kwani kuwa mwana Chadema wa kweli ni kazima uwe na madaraka ? Mie nadhani ni wakati wa kujipanga na kuendelea mbele . Chadema hawajawafukuza uanachama ila wamewavua madaraka tu kwa mambo ya kuwajibika so tatizo ni wapi ?
kama unafikiri chadena wanasaidika......sasa tuwasaidieje????????????????????????????mi soma alama za nyakati
Hakika , hakika, CCM ni vicheko na ndelemo, kile walichotegemea sasa chatimia, walijua kuwa upinzania nguvu yao ni ndogo ni kelele za chura.
Ni kweli wapinzani walifanikiwa kuwashika pabaya ila kwa sasa kila kukicha wanajinasua pole pole,
Hebu sisi watanzania ni nani katuloga? tumekuwa kama gari linalosukumwa mara liwake mara lizime? Daaa!!!!! sijui hatima ya upinzani.
Kinachonisikisha ni hili jambo la ukabira linalotajwa kila kukicha, sijui uchaga, lakini ni kweli hawa ndugu zetu wachaga hatuoni mchango wao katika ujenzi wa Demokrasia hapa nchini?
Nadhani kuna kila sababu za kuvumiliana ndugu zangu, si vema kuuboa upinzani,
Ile hoja ya kwamba CHADEMA ndiyo chama mbadala inaanza kutoweka kila kukicha.
Je nini hatima ya haya yanayoendelea?
Je huu ndiyo mwisho na kusambaratika kwa chama(CHADEMA) hiki Makini?
Je nini hatima ya haya yanayoendelea?
Je huu ndiyo mwisho na kusambaratika kwa chama(CHADEMA) hiki Makini?
Ndio mwisho kabisa...! Karibuni tena CCMJe huu ndiyo mwisho na kusambaratika kwa chama(CHADEMA) hiki Makini?
Hakika , hakika, CCM ni vicheko na ndelemo, kile walichotegemea sasa chatimia, walijua kuwa upinzania nguvu yao ni ndogo ni kelele za chura.
Ni kweli wapinzani walifanikiwa kuwashika pabaya ila kwa sasa kila kukicha wanajinasua pole pole,
Hebu sisi watanzania ni nani katuloga? tumekuwa kama gari linalosukumwa mara liwake mara lizime? Daaa!!!!! sijui hatima ya upinzani.
Kinachonisikisha ni hili jambo la ukabira linalotajwa kila kukicha, sijui uchaga, lakini ni kweli hawa ndugu zetu wachaga hatuoni mchango wao katika ujenzi wa Demokrasia hapa nchini?
Nadhani kuna kila sababu za kuvumiliana ndugu zangu, si vema kuuboa upinzani,
Ile hoja ya kwamba CHADEMA ndiyo chama mbadala inaanza kutoweka kila kukicha.
Je nini hatima ya haya yanayoendelea?
Je huu ndiyo mwisho na kusambaratika kwa chama(CHADEMA) hiki Makini?
Ndio mwisho kabisa...! Karibuni tena CCM
acha wasambalatike..............ndio maana muda wote mimi binafsi nimekuwa siamini ktk vyama vya siasa vilivyopo kwa kuwa kila chama kina kasoro yake ambayo ni kubwa na ambayo bila kuikubali kuwa ni kasoro na kuirekebisha basi mustakabali wake ndio kama tunavyoona yanayotokea chadema,.....................muda wote naota chama kipya kitakachoundwa na wapambanaji wa ufisadi kwani kitakuwa chama cha kitaifa zaidi kuliko hizi longolongo zilizopo..................kwa haraka haraka wamekatisha tamaa wananchi..............kama wanagombana saaizi baada tu ya kuona wanaanza kukubalika sasa ingekuwaje kama wangetwaa madaraka..............yale yaliyotokea kenya tungeyaona haraka sana....................................wa wapi wazalendo wa nchi hiiii....................nashangaaa kumbe hata vijana chipukizi waliopo bado wapo kwa maslahi binafsi inasikitisha sana............................imagine nguvu iliyokuwepo chadema afu inakuja kuishia hapa tunapoendelea kushuhudia.....mnaamini katika upinzani wa kweli?
ccm waendelea kukenua maana vita ya panzi........furaha ya kunguru.