Wapinzani na siasa za "Matunda"

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
37,547
47,198
Baada ya kumaliza elimu yangu ya sekondari, wakati nasubiri kujinga na elimu ya juu, kulikua na kama miezi 8 au tisa hivi ya kusubiri, nikaona kuliko kukaa bure wacha nijishughulishe, nikajiunga na chuo cha uandishi wa habari kwa mafunzo ya miezi sita.

Wakati nikijifunza uandishi wa habari nikadevelop interest ya kujifunza kupiga mziki redioni na clubs wanaita maDJ kipindi kile tulikua na majina tunawapa maDJ wanaopenda kupiga nyimbo zinazowika tu kwa kipindi kile ili kujizolea umaarufu, maDJ matunda yaani anachagua zile nyimbo nzuri zoote anazipiga ili wasikilizaji waone anafanya kazi nzuri kumbe ubora wa DJ ni kupangilia miziki kwa kufuatana na kiki, mashine tuliyokua tukitumia kipindi kile ilikua inaitwa denon.

Mantiki ya kuwapa historia fupi ni katika kutaka kupalilia dhana na matumizi ya neno "matunda" nikihusianisha na jinsi wapinzani hapa nchini wanavyoendesha siasa zao.

Wanasiasa wa upinzani wengi wao hawana uwezo wa kuibua mijadala na kuifanya mijadala ya kitaifa , bali hudandia matukio na kuyafanya kama yao kuyajengea hoja na kujiongezea umaarufu. Hili limekua jambo la kawaida kabisa.

Ndio maana mijadala kama Richmond, Escrow na mingineyo bado haijafungwa kwakua wanasiasa wetu hawana uwezo wa kuibua hoja nyingine zaidi ya kuibua mambo yale yale yanayovutia masikioni mwa watu ili wabakie kwenye headlines za vyombo vya habari.

Matatizo katika taifa hili yapo mengi, hakuna maji, hakuna dawa, elimu ni mbovu, bei za mafuta zipo juu, mishahara midogo nakadhalika nakadhalika, lakini kwa ajabu la wengi hoja zinazozungumziwa na wanasiasa wetu kwa kipindi cha takribani miaka kumi, ni mbili tu RICHMOND na ESCROW.

Jamani wanasiasa wetu, tutafute namna ya kuzimaliza hizo hoja mbili hapo juu, na kwenda moja kwa moja kwenye matatizo yanayotukumba sisi wapigakura wenu moja kwa moja, ukimuuliza mama muuza nyanya kama anafahamu IPTL au Richmond kwa undani wake sidhani kama atakuelewa, ingawa hoja zinajengwa ilikuonekana kama RICHMOND na ESCROW pekee ndio vyanzo vya kila tatizo hapa nchini sidhani kama ni kweli.

Kuna haja ya kujitazama upya na kuibua hoja za kujenga taifa sio kufanya siasa matunda kwa kudandia hoja zinazovuma.

Wasalaam.
 
Je wabunge wa CCM kero haziwahusu?
Hatujasikia wakiibua lolote zaidi ya kupiga kelele za ndiooooo na kuzomea
Leo wamemzomea Esther Bulaya
Chombeza:
Umemuona waziri wa afya Leo alivyokuwa anakata mauno akiwasindikiza wabunge wapya wa ccm kuapishwa.Huyu atakua na msaada wowote serikalini?
 
Kwa hiyo Unataka kusema maji yasiwepo,elimu mbovu,bei juu mishahara midogo ongeza Escrow RichmondIPTL etc na Vyote tukae wakae kimya ,ndio maana ulikimbilia kusomea UDJ wakati wenzio wanasomea Udaktari,uinjinia .Ondoka na habari zaako za matunda.
 
Kwa hiyo Unataka kusema maji yasiwepo,elimu mbovu,bei juu mishahara midogo ongeza Escrow RichmondIPTL etc na Vyote tukae wakae kimya ,ndio maana ulikimbilia kusomea UDJ wakati wenzio wanasomea Udaktari,uinjinia .Ondoka na habari zaako za matunda.
soma mada uelewe kilaza wewe, sio unakurupuka kama una ha.ra
 
Wanasiasa wetu nadhani na wao ni wateja wazuri wa viroba, wepesi sana katika kudandia mada. Wanaishi kishabiki, wanaishi kiupambe zaidi. Ukasuku ni mwingi sana kwenye jamii hivyo hakuna haja ya kushangaa tunapowaona wabunge na wenyewe wana zile akili za watoto wa form one na form two. Mambo mengi yanayojumuisha technicalities za kitaalam huwa hayapendwi na watanzania wengi. Jaribu kutazama thread nyingi zenye kuhusiana na mambo ya udaku ndizo zenye kuchangiwa na watu wengi, lakini zile ambazo zinajumuisha mambo ya kitaalam zinakimbiwa, mtu anachungulia na akiona halingani na mada, anaishia taratibu. Itapita miaka mingi mpaka nchi hii itakapokuwa na watu wengi makini wenye kupenda kujadili mambo mazito.
 
Mada ya akili ya watu wenye akili. Ahsante mtoa mada,tujifunze na kufundishana suluhu ya matatizo yetu wawakilishi wetu wataiga wataenda kuziimba bungeni. Hata hapa JF tembelea jukwaa la uchumi na biashara au ujasiriamali utajua uwezo wetu wa kufikiri ukoje.
 
hao wabunge wakishapitisha bajeti huwa hawafuatilii walichopitisha wanabaki tu kushabikia mambo ndio maana wanapiga kelel tbc kutoonywesha live kwani hawawezi kuibana serikali mpaka waonyweshe live
 
Baada ya kumaliza elimu yangu ya sekondari, wakati nasubiri kujinga na elimu ya juu, kulikua na kama miezi 8 au tisa hivi ya kusubiri

.

Zaman tulikuwa tunamaliza Form 6 May Chuo tunaingia Mwaka unaofuata areound August,so tulikuwa tunakaa home for more than one year unless uunge by Private Sponsorship.
Sasa hivi watoto wanamaliza kidato cha sita April na wanaingia Chuo Almost 6 Months to come
Wewe umesoma wapi ?
Hii ni indication kuwa uliishia huko kwenye Ki Certificate chako cha Ukanjanja
No wonder umeandika Upuuzi uliopindukia
 
Zaman tulikuwa tunamaliza Form 6 May Chuo tunaingia Mwaka unaofuata areound August,so tulikuwa tunakaa home for more than one year unless uunge by Private Sponsorship.
Sasa hivi watoto wanamaliza kidato cha sita April na wanaingia Chuo Almost 6 Months to come
Wewe umesoma wapi ?
Hii ni indication kuwa uliishia huko kwenye Ki Certificate chako cha Ukanjanja
No wonder umeandika Upuuzi uliopindukia

Kumbe possibility ilikuwepo,

Tulia ukamuliwe ngombe wa maziwa wewe,

Halafu kama ulisoma zamani, basi wewe ni kikongwe, wenzako wote waliosoma zamani hawapo tena duniani....
 
Kumbe possibility ilikuwepo,

Tulia ukamuliwe ngombe wa maziwa wewe,

Halafu kama ulisoma zamani, basi wewe ni kikongwe, wenzako wote waliosoma zamani hawapo tena duniani....
Firm four Failure mna Matatizo sana
 
Firm four Failure mna Matatizo sana
Next time kabla ya kujibu mada, soma mada nzima uielewe kama hujaelewa omba msaada kwa jirani yako akusomee, ndio uje ujibu, unajiabisha mkuu, na pole sana kwa kukatiwa shanga zako,
 
Next time kabla ya kujibu mada, soma mada nzima uielewe kama hujaelewa omba msaada kwa jirani yako akusomee, ndio uje ujibu, unajiabisha mkuu, na pole sana kwa kukatiwa shanga zako,
Haaaaa
Huwaga nasoma first few lines
Nikiona hata Mleta mada hajijui kama wewe huwaga siendelei

By the way,Lugha unayotumia reflect how shallow you are.
A55 hole
 
Haaaaa
Huwaga nasoma first few lines
Nikiona hata Mleta mada hajijui kama wewe huwaga siendelei

By the way,Lugha unayotumia reflect how shallow you are.
A55 hole
Huyu kilaza leo anatafuta mbe.gu zangu ila hustahili nikurutubishe kiuongo chako za uzazi.

Ndio maana basi ukaandika pumba maana hukusoma kwakua uelewa wako ni mdogo kama makali.o yako.
 
Haaaaa
Huwaga nasoma first few lines
Nikiona hata Mleta mada hajijui kama wewe huwaga siendelei

By the way,Lugha unayotumia reflect how shallow you are.
A55 hole
Wewe unasoma kichwa cha habari na kujibu halafu unamkdhifu mtu aliyetoa hoja iliyoenda shule basi kama ninyi ndo wasoma wa tz ya sasa tunasafari ndefu sana kufika wenzetu walikofika
 
Zaman tulikuwa tunamaliza Form 6 May Chuo tunaingia Mwaka unaofuata areound August,so tulikuwa tunakaa home for more than one year unless uunge by Private Sponsorship.
Sasa hivi watoto wanamaliza kidato cha sita April na wanaingia Chuo Almost 6 Months to come
Wewe umesoma wapi ?
Hii ni indication kuwa uliishia huko kwenye Ki Certificate chako cha Ukanjanja
No wonder umeandika Upuuzi uliopindukia
Mbona umemsadia mtoa hoja kwa ku confirm alichoandika bila wewe kujijua? Umeisoma mada vizuri?
 
Wanasiasa wetu nadhani na wao ni wateja wazuri wa viroba, wepesi sana katika kudandia mada. Wanaishi kishabiki, wanaishi kiupambe zaidi. Ukasuku ni mwingi sana kwenye jamii hivyo hakuna haja ya kushangaa tunapowaona wabunge na wenyewe wana zile akili za watoto wa form one na form two. Mambo mengi yanayojumuisha technicalities za kitaalam huwa hayapendwi na watanzania wengi. Jaribu kutazama thread nyingi zenye kuhusiana na mambo ya udaku ndizo zenye kuchangiwa na watu wengi, lakini zile ambazo zinajumuisha mambo ya kitaalam zinakimbiwa, mtu anachungulia na akiona halingani na mada, anaishia taratibu. Itapita miaka mingi mpaka nchi hii itakapokuwa na watu wengi makini wenye kupenda kujadili mambo mazito.
Umenena vyema sana mkuu, hili lazima liwe addressed ili kuondokana na wanasiasa uchwara wanaonadia non relevant issues na kusahau mambo ya msingi kabisa kwa mustakabali wa taifa letu.
 
Back
Top Bottom