Mkuu umeshuka Data vizuri,nakukubali.Bei za wastani kwa mashine zenyeuwezo wa kilo 25:
Dough mixer (mashine ya kukanda ngano) 25kg used 3,500,000/= mpya 7,000,000/=
Oven 2 mpya zote 8,000,000/=Kila moja inaweza kuchukua Mikate 60kwa wit mmoja
Bread slicer(kisu cha mkate) 2,000,000/= used naweza kua 1,000,000/=
Cans (makopo ya mikate 200@7,000/=; scons 200@6,000/= banana na baby sikumbuki bei)
Wiring, meter ya three phase 1,000,000, tfda wanataka Mpishi awe na digrii ya food science nadhani inatolewa SUA.
Kama unataka kufanya biashara hii nakushauri anza na mixer ya kilo 25 au zaidi. Karibu
Asanteni kwa mchango....
Kaka umenipa ufafanuz wa kutosha sana... Kama huutojali unaweza ni PM namba yako kwa mawasiliano zaidi ,Asante kwa ushauri wako pia .. Geofrey
Mkuu umeshuka Data vizuri,nakukubali.
Hii biashara niliwahi kuifikiria,ila bado navuta Ideas na Mtaji
Lakini Mpishi awe na Degree?hili mbona gum sana
Mixer ya Kg 100, njoo tuyajenge tuipate kwa 5milion. Iko very simple, ikikorofisha waweza irekebisha mwenyewe.Bei za wastani kwa mashine zenyeuwezo wa kilo 25:
Dough mixer (mashine ya kukanda ngano) 25kg used 3,500,000/= mpya 7,000,000/=
Oven 2 mpya zote 8,000,000/=Kila moja inaweza kuchukua Mikate 60kwa wit mmoja
Bread slicer(kisu cha mkate) 2,000,000/= used naweza kua 1,000,000/=
Cans (makopo ya mikate 200@7,000/=; scons 200@6,000/= banana na baby sikumbuki bei)
Wiring, meter ya three phase 1,000,000, tfda wanataka Mpishi awe na digrii ya food science nadhani inatolewa SUA.
Kama unataka kufanya biashara hii nakushauri anza na mixer ya kilo 25 au zaidi. Karibu