Wapi ntapata gari za kukodi mwanza?

Wapi ntapata gari za kukodi mwanza?

Chrix_Tz

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2015
Posts
880
Reaction score
1,101
Nahitaji gari za kukodi kwa matumizi binafsi kwa mwanza? Nani mwenye kujua kampuni yoyote labda tusaidiane wadau?
 
Nakuuliza hivi coz unaweza kuwa na mizunguko mingi inayohitaji multipurpose cars mfano kutembea nje ya kwenye barabara za fumbi km Kolomije,Serengeti np n,k
Gari ndogo tu aina yoyote ile ambayo itafaa kwa matumizi ya mizunguko hapa mwanza....
 
Nakuuliza hivi coz unaweza kuwa na mizunguko mingi inayohitaji multipurpose cars mfano kutembea nje ya kwenye barabara za fumbi km Kolomije,Serengeti np n,k

Ohooo sawa nimekuelewa mkuu.... mizunguko yngu ni ndani ya barabara kuu sina safari za njia ya makorongo ni luxury root
 
Nakuuliza hivi coz unaweza kuwa na mizunguko mingi inayohitaji multipurpose cars mfano kutembea nje ya kwenye barabara za fumbi km Kolomije,Serengeti np n,k
80000 kwa siku mafuta utakuwa unajaza mwenyewe,nakujazia fulltank kuanzia na siku ya kurudisha unairudisha ikiwa full tank
 
80000 kwa siku mafuta utakuwa unajaza mwenyewe,nakujazia fulltank kuanzia na siku ya kurudisha unairudisha ikiwa full tank

Nipe contact zako tuwasiliane basi muhimu sana.
 
Nenda Mgahawa wa Pizaria kushoto kidogo na Mwanza Hotel opposite na Equity Bank kuna Kampuni inakodisha gari.
 
Back
Top Bottom