Wakuu Salaam,
Kwa wanaojua ni wapi naweza kupata mashine ya kuvuna mpunga kwa hapa Tanzania kwa maana ya kununua au pia kuagiza nje ya nchi pamoja na bei yake?
Mashine ninayohitaji ni ndogo sio zile kubwa(Combine harvester),na itakuwa vizuri kama nitajua bei ya kwa maana ya iliyotumika au mpya.
Kwa yoyote mwenye ufahamu naomba anijulishe pia na uwezo wake wa kuvuna mpunga kwa saa.
Nimeambatanisha na picha kutoka mitandaoni ila zisikufunge kutoa ushauri.
Ahsante.
View attachment 2652560View attachment 2652562View attachment 2652563