Ukiwa Tanesco - Mikocheni kuna bara bara iko kando ya Ukuta wa Tansesco then unafika Villas, ziko nyingi kwenye fensi ukitembea na hio njia kuna hizo huduma wameweka bango kabisa,ziko kama nne au tano kwenye maeneo hayo, Nyingine nenda pale Nefaland Hotel
Mkuu, Dar es Salaam ni jiji la kimataifa hivyo siyo vitu vya kuuliza, wewe tembea tembea tu utaona vibao. Labda kama unataka hiyo service uipate kutoka huku ndani ya JF, watakuja PM tu watoa huduma
Nenda pale mikocheni kuna moja inaitwa SPA kama sijakosea jina fuata Hubert kairuki road kabla hujafika hurbert hospital kuna njia moja inachepuka hapo mkono wa kulia hesabu nyumba ya kwanza..pili halafu yenyewe iko nyumba ya tatu mkono wa kulia watakupa massage ya uhakika mkuu....
Comrade......
Watu wasio julikana sio wema kabisa, na hata huwa wakituachia hatusemagi na ukibisha muulize :-
Yerico Nyerere
Roma Mkatoliki
Masoud Kipanya
Nakadhalika