Wapi nitaangalia mechi hizi leo usiku?

Wapi nitaangalia mechi hizi leo usiku?

Babu Kijana

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2013
Posts
589
Reaction score
278
Nauliza sehemu nzuri na iliotulia niende na mke wangu leo usiku kutazama mechi kali za leo usiku Astonvilla vs Man City na ile ya hispania kati ya Madrid vs Valadolid zote kwa pamoja huku nikiburudika na vinywaji mdogomdogo. Kwa anaejua mahali pazuri kwa hapa dar anifahamishe.
 
Acheni basi hizo mie niko serious kama umeshindwa kuchangia kata kona Ng'wanapagi na asante udagadagaa mie nipo kinondoni huko chanika mbali sana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom