189500??? Duuunenda kikuu utaipataView attachment 1901390
Kama shida ni saa za kukonyeza mbona nyingi,hiyo Casio ina nini cha ziada?
Konyagi vs Tequila.Ambao hatuna a b c za saa tueleweshwe kwanini hiyo mikonyezo inauzwa 189,500
Hata mimi nashangaa ya kwangu mimi kama hizo za 189,500 kimuonekano hakuna cha kutofautisha nimepata kwa buku nane uswahilini na nimedumu nayo kwa muda mrefu pamoja na kupata misukosuko ya hapa na pale.Ambao hatuna a b c za saa tueleweshwe kwanini hiyo mikonyezo inauzwa 189,500
Agrrey st,inaanza station inavuka mnazi mmoja inaenda mpaka mission kota.Unatakiwa umpunguzie zoezi la kutembea kwa kumpa intersection,mfano- Agrrey na Indira gehandi st. ,na market st. na Jamhuri st. na Libya st.na Bibititi st na kadhalika.Nenda kariakoo mtaa wa aggrey kuna maduka ya mawili ya camera km sikosei yana bango la canon wanazo, nimenunua juzi tu na bei zao ni rahisi kuliko hata aliexpress
View attachment 1901795
Kwa bei hizo ndiyo ule usemi wa "alinunua babu hadi mjukuu anaitumia"Ambao hatuna a b c za saa tueleweshwe kwanini hiyo mikonyezo inauzwa 189,500
Sasa kwa Bei hiyo si Bora anunue smartwatch..nenda kikuu utaipataView attachment 1901390