yaser
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 1,361
- 299
Habari zenu wadau hasa wale wenzangu na mimi walioamua kujikwamua kwa kukiendea kilimo.
Baada ya msoto wa muda mrefu niliamua kukiendea kilimo cha matikiti na hapa ninapoandika uzi huu matunda yameshakua tayari kwa kuliwa tatizo limekua soko kwani nimewafata wateja kama watatu naona wananipelekea kutaka kujiona tena sina thamani maana hata gharama zake hazirudi kwa bei wanayonitajia. Nimelima heka mbili maeneo ya KIMBIJI (Kijaka) Dar es salaam ambapo nilipishanisha katika kupanda kwani kwa sasa heka moja iko tayari nyingine bado kama siku 14 yavunwe pia.
Mwenye mawazo anisaidie wadau maana nina headache kali sana yani dah. Kwa mzigo uliopo tayari ni kama tani tatu hivi yapo makubwa sana na size ya kati kwa kifupi yamependeza.
Napatikana kwa 0713806766.
Baada ya msoto wa muda mrefu niliamua kukiendea kilimo cha matikiti na hapa ninapoandika uzi huu matunda yameshakua tayari kwa kuliwa tatizo limekua soko kwani nimewafata wateja kama watatu naona wananipelekea kutaka kujiona tena sina thamani maana hata gharama zake hazirudi kwa bei wanayonitajia. Nimelima heka mbili maeneo ya KIMBIJI (Kijaka) Dar es salaam ambapo nilipishanisha katika kupanda kwani kwa sasa heka moja iko tayari nyingine bado kama siku 14 yavunwe pia.
Mwenye mawazo anisaidie wadau maana nina headache kali sana yani dah. Kwa mzigo uliopo tayari ni kama tani tatu hivi yapo makubwa sana na size ya kati kwa kifupi yamependeza.
Napatikana kwa 0713806766.