Kama kuna mtu anafahamu duka hapa Dar linalouza leather halisi ya kutengenezea sofa,pia kama kuna mtu anamfahamu fundi wa kutengeneza au kukarabati sofa ambazo kitambaa chake ni leather,nahitaji fundi aliyebobea ambaye anaweza kukarabati sofa zangu aina ya Chesterfield sofas(sofa zenye dimples kibao)ambazo zimeanza kuchoka ni pure leather lakini sasa zishachoka sasa zirudie upya na uasili wake.simu yangu ya kiganjani ni 0786 585 490