Wadau msaada haya matunda ya almonds hapa bongo inapatikana sehemu gani.je mti wake unastawi kama nikiamua kuupanda na unachukua mda gani mpaka unakua na kutoa matunda.wapi ntapata mche wake?
Najua ni kama karanga na zinapatikana sana California USA lakini pia zipo nchi nyingine zinalimwa
Kwa Africa ni South Africa lakini kwetu sijui lakini unaweza kuilima
Wadau msaada haya matunda ya almonds hapa bongo inapatikana sehemu gani.je mti wake unastawi kama nikiamua kuupanda na unachukua mda gani mpaka unakua na kutoa matunda.wapi ntapata mche wake? View attachment 764235