Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,056
- 10,341
Duh!!! nadhani sifa ya ubunge ni utanzania na si uhindi au uafrika (umatumbi) au uarabu hapa naona kuna kaharufu ka ubaguzi kidogo. ''Dhambi ya ubaguzi huwa haishi ni kama kula nyama ya binadamu" - Mwl JK Nyererekwahiyo ulitaka tuwafagilie watu wa Morogoro ambao wanachaguwa wabunge wahindi na waarabu miaka yote?