Actually sijui jina lake but walileta taarifa serikalini na hata vyuoni wanafunzi wanaomaliza wanajua hilo wenyewe wanaweza kuwa na full details but nijuacho ni kuwa uamuzi umefikiwa na mhitimu aweza patiwa mkopo wakumwezesha kiujasiriamali kwa kuweka rehani cheti chenye ufaulu wa upper second nakuendelea