Hapa swali ni kwamba...
1. Kwanini wote walio tajwa na mleta mada tayari wamefariki?
2. Kwanini aliwataha hao wawili na hakutaja wengine?
3. Kwanini alikua amewataja wote, je walikua wana fahamiana ama hata ukaribu wowote?
Hapa swali ni kwamba...
1. Kwanini wote walio tajwa na mleta mada tayari wamefariki?
2. Kwanini aliwataha hao wawili na hakutaja wengine?
3. Kwanini alikua amewataja wote, je walikua wana fahamiana ama hata ukaribu wowote?
Ndio mkuu, yaani hapa bado nina maswali kadhaa ya kumuuliza huyu mleta uzi.
Yaani inatakiwa akuje na atuambie nini hasa kilicho msukuma hadi akaandika huu uzi