Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,655
- 68,616
watu wanakula wanasaza ye hata kuonja mbado...
Ajiunge na mabazazi labda
watu wanakula wanasaza ye hata kuonja mbado...
Muda wa kukutana na kuliwa umefika ndio maana watu wanapotea humu wanajifanya ooo jf imeingiliwa na watoto kumbe aibu mnaliwa siku moja na kuachwaa he heee heeee heeeee mi simoo
Nikweli nakumbuka Mkuu mwenyewe alisema kama JF itataka shughuli ifanyike pale Kempisk JF itaongezea kitakachokuwa kimepungu kwa hiyo sisi tutakazochangisha JF itaongezea,Sasa hii oa haiwezi kupita hivi Mtambuzi wewe ulisikia hii kauli ebu mkumbushe mac mushi hii kitu pleaseKama sikosei nakumbuka another party ilikua iwe mwezi huu JUNE tena KEMPISKY so nahisi waandaaji wamebanwa na majukum ila mambo yakiiva mtu update tu tuanze kuzichanga kwa kibubu