Bora waifiche tu, maana aibu itakuwa kubwa sanaMpaka sasa hii ripoti imekuwa kama siri ya serikali. Hata muhusika mkuu ameiomba hajapewa unadhani ndiyo itawekwa hadharani ili muikosoe, never! ... not to that extend
Jibu ni rahisi tu mkuu, inawezekana kweli tunaibiwa, lakini tatizo linabaki pale pale, njia zilizotumika kumkamata huyo mwizi ndio shida inapoanzia.
ACACIA wameikataa tume pamoja na ripoti yake, maana haina uhalali kisheria. Na hata majaliwa ameshalitambua hilo ndio maana akatoa ile kauli ya kuwa wao (Serikali) walitaka kujiridhisha tu. Wameshajua kuwa walikurupuka.
Tuweke record sawa kwanini kwenye hili la makanikia great thinkers wanapigia kelele kuwa hatua ambazo serikali imechukua si sahihi...
· moja usilikabili jambo (complex) kama hili la makanikia tayari ukiwa na nia ya hitimisho/jibu unalolitaka wewe ...
· tatu kushupalia vitu na mambo yasiyo na msingi na kusahau mlolongo mzima unataka nini? Ego mara nyingi ina madhara makubwa sana.
...ripoti ya Prof. Mruma ni “Bashite”. ...
Lakini kama kimkataba madini yote yanayochimbwa ni ya mwekezaji na anachodaiwa ni mrahaba wa 4 percent, ambayo hao wawekezaji wanadai wanalipa, inawezekanje wawe wezi wa mali ya (mchanga uliokwisha chimbwa)? Ninachoona mimi na ukisikiliza tone za wachangiaji utagundua kuna makundi matatu au zaidi. Wapo wanaounga mkono hatua ya Rais wakiwa na akili na wanaelewa shida iliyopo, lakini ni ma-opportunist, wapo wanaounga mkono kwa kujua kinachoonekana tu, lakini ni mashabiki, wapo wanaounga mkono kwa kujua yaliyomo na kwamba hayo ni matokeo ya makosa yao wenyewe kwa siku zilizopita, lakini hawako tayari kubeba wajibu. Na wapo wanaopinga wakisimamia katika principle ya "Bonum ex integra causa, Malum ex quovis defectu". Haiwezekana kuhalalisha matokeo kwa mchakato uliobuma, tutakwama tu. It is a matter of time. Utamu wa nchi yetu ni ukweli kwamba hatujajilea kuwa responsible na hivi ni ruksa kuharibu kwa kuwa siku zitapita na watakuja wengine na maisha yataendelea kama jana. All the best my mother land!Mpaka sasa hii ripoti imekuwa kama siri ya serikali. Hata muhusika mkuu ameiomba hajapewa unadhani ndiyo itawekwa hadharani ili muikosoe, never! ... not to that extend
Lakini kama kimkataba madini yote yanayochimbwa ni ya mwekezaji na anachodaiwa ni mrahaba wa 4 percent, ambayo hao wawekezaji wanadai wanalipa, inawezekanje wawe wezi wa mali ya (mchanga uliokwisha chimbwa)? Ninachoona mimi na ukisikiliza tone za wachangiaji utagundua kuna makundi matatu au zaidi. Wapo wanaounga mkono hatua ya Rais wakiwa na akili na wanaelewa shida iliyopo, lakini ni ma-opportunist, wapo wanaounga mkono kwa kujua kinachoonekana tu, lakini ni mashabiki, wapo wanaounga mkono kwa kujua yaliyomo na kwamba hayo ni matokeo ya makosa yao wenyewe kwa siku zilizopita, lakini hawako tayari kubeba wajibu. Na wapo wanaopinga wakisimamia katika principle ya "Bonum ex integra causa, Malum ex quovis defectu". Haiwezekana kuhalalisha matokeo kwa mchakato uliobuma, tutakwama tu. It is a matter of time. Utamu wa nchi yetu ni ukweli kwamba hatujajilea kuwa responsible na hivi ni ruksa kuharibu kwa kuwa siku zitapita na watakuja wengine na maisha yataendelea kama jana. All the best my mother land!
Muhusika mkuu anayo ya kwake ambayo amekuwa akiitumia kwa miaka yote. Mbina sisi hatujamuomba hiyo? Kwa nn na yeye hasiamue kujilidhisha halafu akaiweka hadharani kama ya mruma? Kiini cha ripoti kipo kwenye abstract. Mruma katoa abstract. Sasa nini kingine? Acacia wanatakiwa na wao waende kwingine kujiridhisha kama sisi ambavyo tulisindwa waamini TMAA na kutafta wengine. Na wao Acacia wanatakiwa mtafta mwingine zaidi ya SGS na watupe abstract kama ya mruma. Tatizo nini? Nini jamani?
Mpelekee Lowassa hii porojo upokee chako.Noted.
Nitarudi baadae
PoleMpelekee Lowassa hii porojo upokee chako.
Hana haja ya kuelewa alichoandika, yeye ameandika tu inatosha kumpa bk.7 basi.Umeelewa alichoandika lakini?
Mkuu binafsi nakubaliana na hoja za ACASIA kwa sababu zina mantiki kuliko hoja za Tundu. ACACIA hawaamini findings za Kamati ya wataalam wetu, which is very fine na wanahaki ya kuthibitishiwa kuwa wamekuwa wakitudanganya na ama wao kututhibitishia kuwa huwa hawatudanganyi,Umeuliza swali la msingi sana lakini swa lako litakuwa na maana sana ikiwa matokeo ya ripoti yangekuwa hayana shaka na kuwa wazi kujadilika.
Acacia wameomba ripoti na wao wajiridhishe nayo lakini serikali haijawapa au imewanyima wewe huoni kuna tatizo hapo?
Lakini Acacia wameenda mbali zaidi kusema matokeo yamepikwa na hayaitaji ujuzi kujua hilo sababu namba haziwiani
Aisee push ups za jukwaani hivi pale alikuwa ana maanisha nini???Hiyo complexity unaitengeneza wewe....Hapa mwizi atulipe chetu tu hizo lugha zenu kaeni nazo.
Kwa hiyo ni kwa nini ACACIA wanajieleza kuwa wamekuwa waaminifu katika kudeclare mineral concentrates siku zote? Ni kwa nini wanapoteza muda kujieleza kwa mamlaka isyo halali kisheria?Jibu ni rahisi tu mkuu, inawezekana kweli tunaibiwa, lakini tatizo linabaki pale pale, njia zilizotumika kumkamata huyo mwizi ndio shida inapoanzia.
ACACIA wameikataa tume pamoja na ripoti yake, maana haina uhalali kisheria. Na hata majaliwa ameshalitambua hilo ndio maana akatoa ile kauli ya kuwa wao (Serikali) walitaka kujiridhisha tu. Wameshajua kuwa walikurupuka.
Do you mean wanaiba madini yaliyopo kwenye mchanga tu.hilo ndio gap kubwa ambalo anawachanganya followers wake.
sisi tumekamata mwizi, yeye anaibua hoja zisizohusiana na wizi huo hauzungumzii.
wizi ni undeclared minerals kwa kusingizia kama hazina commercial value.
Wizi ni kusema kiwango cha dhahabu niasi flani sisi tunafungua kiasi flani.
hapo sijui mikataba inaingiaje. maneno mengi lkn yako nje ya mada.
MIGA,SHERIA,MIKATABA haiwezi kuruhusu mtu 10 kuiita 2.