Wanyonge njooni mlete ushuuda

Wanyonge njooni mlete ushuuda

doppla2

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2014
Posts
1,391
Reaction score
1,458
Nimekua kwa sehemu nafuatilia hotuba za mshua , mara nyingi upenda kutaja tabaka la watu anaowaita wanyonge,
kuwa ndio rais wao na anajitahidi kufanya yote yanayoendelea nchini kwa ajili yao.

Leo nataka wanyonge mje mnipe mrejesho

Huko mlipo wenzetu namba haisomeki?

Je kwenu kuna mabadiliko yoyote mmeshayapata?

Je siku hizi wanyonge mnaishi kama malaika au ni ndoto tu za kufikirika maana wengine tumefanywa kama mashetani?

Hivi wanyonge mboga saba siku hizi mezani hazikatiki?
Kwetu huku tunashindia chai maandazi.


Huyu mshua asije shituka miaka mitano imeisha akizani kuna tabaka alilofikili analisaidia kumbe badala yake anataabisha Taifa zima
 
Fanyeni kazi mjikwamue. Acheni kulialia, hakuna mtu wa kuwaleteeni mikate na chai mkiwa mmekaa vijiweni tu
 
Fanyeni kazi mjikwamue. Acheni kulialia, hakuna mtu wa kuwaleteeni mikate na chai mkiwa mmekaa vijiweni tu
Aliyekwambia watu hawafanyi kazi nani?
Acha ujuha wewe! basi mkimezeshwa kimsemo hapo Lumumba hata mahali pasipo faa we unaandika tu!
 
Fanyeni kazi mjikwamue. Acheni kulialia, hakuna mtu wa kuwaleteeni mikate na chai mkiwa mmekaa vijiweni tu
Nafikiri huenda una hoja ila hoja iliyotolewa hujaielewa hivyo unajibujibu tu
 
Nimekua kwa sehemu nafuatilia hotuba za mshua , mara nyingi upenda kutaja tabaka la watu anaowaita wanyonge,
kuwa ndio rais wao na anajitahidi kufanya yote yanayoendelea nchini kwa ajili yao.

Leo nataka wanyonge mje mnipe mrejesho

Huko mlipo wenzetu namba haisomeki?

Je kwenu kuna mabadiliko yoyote mmeshayapata?

Je siku hizi wanyonge mnaishi kama malaika au ni ndoto tu za kufikirika maana wengine tumefanywa kama mashetani?

Hivi wanyonge mboga saba siku hizi mezani hazikatiki?
Kwetu huku tunashindia chai maandazi.


Huyu mshua asije shituka miaka mitano imeisha akizani kuna tabaka alilofikili analisaidia kumbe badala yake anataabisha Taifa zima
Kila mtu anaisoma nambaa yanii
 
Fanyeni kazi mjikwamue. Acheni kulialia, hakuna mtu wa kuwaleteeni mikate na chai mkiwa mmekaa vijiweni tu
Wakafanye kazi kiwanda gani?
Fikiri kabla ya kuandika.
Matajiri na maskini wanategemeana, ukimpiga tajiri sikilizia kilio kwa maskini.
Tajiri hutoa ajira kuanzia kwa muuza duka hadi mfanyakazi, ukimmaliza tajiri, umemzika maskini.
 
Mi ni myonge, mwanzo nilikuwa nakula milo miwili lakini saai nakula mlo mmoja tu, nimemaanisha nilichojibu.
 
Wakafanye kazi kiwanda gani?
Fikiri kabla ya kuandika.
Matajiri na maskini wanategemeana, ukimpiga tajiri sikilizia kilio kwa maskini.
Tajiri hutoa ajira kuanzia kwa muuza duka hadi mfanyakazi, ukimmaliza tajiri, umemzika maskini.
wewe unathani kazi ni viwandani tu? Waende wakalime mashambani huko.
 
wewe unathani kazi ni viwandani tu? Waende wakalime mashambani huko.
Nasita kusema zaidi huenda umeshiba na hujui ulisemalo.
Shamba ni gharama, utalima na mtaji upi?
Hakuna kazi inayohitaji mtaji mkubwa kama kilimo cha kitanzania ambacho ni sawa na nahati nasibu.
Babu zako tangu awali wanalima, je wameibadili je Tanzania?
 
Nasita kusema zaidi huenda umeshiba na hujui ulisemalo.
Shamba ni gharama, utalima na mtaji upi?
Hakuna kazi inayohitaji mtaji mkubwa kama kilimo cha kitanzania ambacho ni sawa na nahati nasibu.
Babu zako tangu awali wanalima, je wameibadili je Tanzania?
Babu zangu walilima, baba zangu wakalia na hadi leo bado wanalima.
hata mimi ninalima na sitaacha kulima.
Bakhresa ni tajili lakini ana mashamba analima.
Kuna makampuni na watu wenye pesa wanategemea kilimo.

kilimo sio lazima uanza na shamba la hekari 50. Kilimo ndio kilichowainua wengi, wasomi, matajiri na hata viongozi tulionao. Bila kilimo pengine wasingekuwa hapo walipo.
Sasa wewe unaona kilimo ni mzigo! Hakika wewe ni mvivu sijawahi kuona. Unataka nani akuajiri? kama wewe huwezi kufanya kazi ya kujiajiri mwenyewe utaweza kazi ya kuajiriawa? Sasa kuliko ukae kijiweni unapiga miayo tu si ni bora ukalime utajipatia angalau mlo?

Kumbuka hata ufugaji ni kilimo. Fuga hata mende au panya utauza utapata pesa. Tumia fursa iliyokuzunguka.
 
Babu zangu walilima, baba zangu wakalia na hadi leo bado wanalima.
hata mimi ninalima na sitaacha kulima.
Bakhresa ni tajili lakini ana mashamba analima.
Kuna makampuni na watu wenye pesa wanategemea kilimo.

kilimo sio lazima uanza na shamba la hekari 50. Kilimo ndio kilichowainua wengi, wasomi, matajiri na hata viongozi tulionao. Bila kilimo pengine wasingekuwa hapo walipo.
Sasa wewe unaona kilimo ni mzigo! Hakika wewe ni mvivu sijawahi kuona. Unataka nani akuajiri? kama wewe huwezi kufanya kazi ya kujiajiri mwenyewe utaweza kazi ya kuajiriawa? Sasa kuliko ukae kijiweni unapiga miayo tu si ni bora ukalime utajipatia angalau mlo?

Kumbuka hata ufugaji ni kilimo. Fuga hata mende au panya utauza utapata pesa. Tumia fursa iliyokuzunguka.
Bro watu wanalima kilimo cha kujikimu wala siyo cha biashara isipokuwa hao matajiri na makampuni uliyoyataja.
 
Back
Top Bottom