Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,341
Wanyama wangekuwa na uwezo kuwa na IDJF hizi zingekuwa post zao ChitChat.
Mende:rafiki zangu nina furaha yaani nimeupuka kijanja kukanyagwa na binadamu.
Mbu:Mi ni HIV posite baadaye ya kunyonya damu ya mtu bila kinga,
Paka:mwanangu wa 7 ananiuliza baba yangu ni nani?hata sikumbuki
Kuku:kesho mkiona sijareply humu mjue nimeliwa.
Mbuzi:Wakuu wiki ijayo msitoke nje Eid imekaribia
Kiitomoto:>(anamreply mbuzi),nina bahati mi ni haramu.
Mbuzi:>(anamreply kitimoto),we niombee kwa wakati mgumu nilio nao kumbuka baada ya Eid kuna mwaka mpya wa kichina
lazima uliwe.
Ng'ombe:nataka nimnyonyeshe mtoto ila nimeshakamuliwa mapema.
mbwa:Nawachukia wahehe nimeponea chupuchupu.
endeleza...........
Mende:rafiki zangu nina furaha yaani nimeupuka kijanja kukanyagwa na binadamu.
Mbu:Mi ni HIV posite baadaye ya kunyonya damu ya mtu bila kinga,
Paka:mwanangu wa 7 ananiuliza baba yangu ni nani?hata sikumbuki
Kuku:kesho mkiona sijareply humu mjue nimeliwa.
Mbuzi:Wakuu wiki ijayo msitoke nje Eid imekaribia
Kiitomoto:>(anamreply mbuzi),nina bahati mi ni haramu.
Mbuzi:>(anamreply kitimoto),we niombee kwa wakati mgumu nilio nao kumbuka baada ya Eid kuna mwaka mpya wa kichina
lazima uliwe.
Ng'ombe:nataka nimnyonyeshe mtoto ila nimeshakamuliwa mapema.
mbwa:Nawachukia wahehe nimeponea chupuchupu.
endeleza...........