Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 5,599
- 1,798
Najua umenisahau. Naitwa Andekelile Lupakisyo Ambindwile Mwambalakata mtoto wa Afwelile Ambwene Mwakisujeje Mwakasokela anko yake na Asangalwisye Mwalunyasyo rafiki wa Bakangana Bukenja Bukomile na nduguye Mwamakimbula Bkunnyasya, nimesoma na Bankalalile Ngupasya ifyaitolo Fikufyuka.
Je,
wanikumbuka?
Najua umenisahau. Naitwa Andekelile Lupakisyo Ambindwile Mwambalakata mtoto wa Afwelile Ambwene Mwakisujeje Mwakasokela anko yake na Asangalwisye Mwalunyasyo rafiki wa Bakangana Bukenja Bukomile na nduguye Mwamakimbula Bkunnyasya, nimesoma na Bankalalile Ngupasya ifyaitolo Fikufyuka.
Je,
wanikumbuka?
Najua umenisahau. Naitwa Andekelile Lupakisyo Ambindwile Mwambalakata mtoto wa Afwelile Ambwene Mwakisujeje Mwakasokela anko yake na Asangalwisye Mwalunyasyo rafiki wa Bakangana Bukenja Bukomile na nduguye Mwamakimbula Bkunnyasya, nimesoma na Bankalalile Ngupasya ifyaitolo Fikufyuka.
Je,
wanikumbuka?
tumbombo
Nakukumbuka kwa mbaaali. Wee ndiye ulimwoa yule binti wa Tunduma aitwaye Tusajigwe mtoto wa Mzee Mwambulukutu?
mweh! tufwilee!!
Huyo mbona alichunwa ngozi miaka mingi ilopita!
Papa pafwene...............Ughonile mwenerupaka...........
mweh! tufwilee!!
Heh hehhhhhhhh eeeeeee we Bujibuji umenivunja mbavu,mpaka bosi wangu kaniuliza nina nini lol kidogo ningefumwa naangalia JF wakati wa kazi nimecheka kwa sauti kubwa sikutegemea kuona hapo pekundundungu sya ghuso