Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,063
Jamani msiniue bure haya maneno ya kwenye signature yangu hapo chini sikuyatunga mie,ni methali ya kihaya, nimezaliwa nikaikuta na maana yake ni kwamba ukiamua kutembea nje ya ndoa/mahusiano basi chagua njemba/demu ambaye kimuonekano ni bora kuliko mwenza wako ili hata kama ukibambwa basi mwenzio angalau pamoja na hasira kimoyo kimoyo ajisemee 'lakini...mmmhh.....mwenzangu aliopoa kifaa.....' sio akukamate na kamjamaa/kasichana kamekaa kaa ka kakuku ka kienyeji!