Wanazuoni watoa ya moyoni

Wanazuoni watoa ya moyoni

Robethn

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2015
Posts
2,103
Reaction score
354
Hatimaye wanazuoni wa elimu ya juu Tanzania wametangaza nia yao ya dhati ya kufanya kazi kwa pamoja na Dr John Pombe Magufuli kutokana na sera zake mahususi katika sekta ya elimu.

Aidha wanazuoni hao wanaojumuisha wakufunzi, walimu na wanafunzi wa vyuo na taasisi mabalimbali za elimu kwa nyakati tofauti wamesema kumekuwa na changamoto kadhawakadha ktka sekta ya elimu kwa muda mrefu,hivo ujio wa DR Magufuli kutakuwa ni suluhisho la changamoto hizo.

Dr Magufuli ameonyesha nia thabiti ya kuhakikisha kila mkufunzi, mwalimu na mwanafunzi wote kwa pamoja wanapata stahiki zao kwa wakati na bila usumbufu.

Aidha ktka mikutano yake Dr AMEKUWA AKISISITIZA kuongeza mishahara kwa wafanyakazi wa Serikali wakiwemo wakufunzi na walimu, aidha wanafunzi watapata mikopo yao kwa wakati hivo kuwataka kusoma kwa bidii na baadaye kuja kulitumikia Taifa,Serikali itatengeneza miundo mbinu thabiti juu yao na viwanda kwa ajili ya wahitimu mbalimbali kupata ajira mara baada ya masomo yao. Aidha kwa upande wa walimu amesisitiza kuwapa stahiki zao na kuboresha mazingira ya kazi zao hususanai wale wote wanaofanya kazi ktka mazingira magumu.

Kutokana na hali hiyo walimu, wakufunzi na wanafunzi wote wa vyuo vikuu na taasisi mbalimbali za elimu nchini wamefurahishwa sana na namna Dr Magufuli atakavyomaliza changamoto zilizokuwa zikiwakabili kwa muda mrefu, hivo wamesisitiza kuwa nae ktka kumuongezea ushindi wa KISHINDO.

Wanazuoni hao pia wamesisitiza kutoa elimu ya ushawishi kwa makundi mengine ktk jamii na hata ngazi ya familia, juu ya mikakati ya utekelezaji wa agenda hizo za Dr Magufuli na baadaye kuweka historia ya Dunia kwa kupata ushindi wa kishindo ktka uchaguzi mkuu wa October.

Aidha wameitaka tume ya uchaguzi kuwa makini na itakapobidi kuchukua hatua stahiki kwa wagombea wote wanaotanguliza udini na ukanda ktka kampeni zao.Vipaumbele vya wagombea vizingatiwe zaidi tofauti na ajenda za udini.

HONGERENI SANA WANAZUONI KWA JUHUDI ZENU KTKA KUONGEZA USHINDI KWA DR JOHN POMBE MAGUFULI.​
 
Hatimaye wanazuoni wa elimu ya juu Tanzania wametangaza nia yao ya dhati ya kufanya kazi kwa pamoja na Dr John Pombe Magufuli kutokana na sera zake mahususi katika sekta ya elimu.

Aidha wanazuoni hao wanaojumuisha wakufunzi, walimu na wanafunzi wa vyuo na taasisi mabalimbali za elimu kwa nyakati tofauti wamesema kumekuwa na changamoto kadhawakadha ktka sekta ya elimu kwa muda mrefu,hivo ujio wa DR Magufuli kutakuwa ni suluhisho la changamoto hizo.

Dr Magufuli ameonyesha nia thabiti ya kuhakikisha kila mkufunzi, mwalimu na mwanafunzi wote kwa pamoja wanapata stahiki zao kwa wakati na bila usumbufu.

Aidha ktka mikutano yake Dr AMEKUWA AKISISITIZA kuongeza mishahara kwa wafanyakazi wa Serikali wakiwemo wakufunzi na walimu, aidha wanafunzi watapata mikopo yao kwa wakati hivo kuwataka kusoma kwa bidii na baadaye kuja kulitumikia Taifa,Serikali itatengeneza miundo mbinu thabiti juu yao na viwanda kwa ajili ya wahitimu mbalimbali kupata ajira mara baada ya masomo yao. Aidha kwa upande wa walimu amesisitiza kuwapa stahiki zao na kuboresha mazingira ya kazi zao hususanai wale wote wanaofanya kazi ktka mazingira magumu.

Kutokana na hali hiyo walimu, wakufunzi na wanafunzi wote wa vyuo vikuu na taasisi mbalimbali za elimu nchini wamefurahishwa sana na namna Dr Magufuli atakavyomaliza changamoto zilizokuwa zikiwakabili kwa muda mrefu, hivo wamesisitiza kuwa nae ktka kumuongezea ushindi wa KISHINDO.

Wanazuoni hao pia wamesisitiza kutoa elimu ya ushawishi kwa makundi mengine ktk jamii na hata ngazi ya familia, juu ya mikakati ya utekelezaji wa agenda hizo za Dr Magufuli na baadaye kuweka historia ya Dunia kwa kupata ushindi wa kishindo ktka uchaguzi mkuu wa October.

Aidha wameitaka tume ya uchaguzi kuwa makini na itakapobidi kuchukua hatua stahiki kwa wagombea wote wanaotanguliza udini na ukanda ktka kampeni zao.Vipaumbele vya wagombea vizingatiwe zaidi tofauti na ajenda za udini.
 
WAPO WANGAPI KATIKA NCHI YENYE WATU 48MIL?
waliojiandikisha watapiga kura ni wengi ni vijana kuanzia miaka ya 1978 hadi 1995 hawa wapo milioni 7,450,240 ndiyo ushindi wa lowasa ulipojificha hapo na wengi hawasomi mambo kwenye mtaandao hao wanasbiri siku ikifika wakate tu basi.


Lowasa ndiye raisi wa nchi hii ndiyo hali halisi tulifanya makosa sana sasa acha makosa yatughalimu.
 
Hatimaye wanazuoni wa elimu ya juu Tanzania wametangaza nia yao ya dhati ya kufanya kazi kwa pamoja na Dr John Pombe Magufuli kutokana na sera zake mahususi katika sekta ya elimu.

Aidha wanazuoni hao wanaojumuisha wakufunzi, walimu na wanafunzi wa vyuo na taasisi mabalimbali za elimu kwa nyakati tofauti wamesema kumekuwa na changamoto kadhawakadha ktka sekta ya elimu kwa muda mrefu,hivo ujio wa DR Magufuli kutakuwa ni suluhisho la changamoto hizo.

Dr Magufuli ameonyesha nia thabiti ya kuhakikisha kila mkufunzi, mwalimu na mwanafunzi wote kwa pamoja wanapata stahiki zao kwa wakati na bila usumbufu.

Aidha ktka mikutano yake Dr AMEKUWA AKISISITIZA kuongeza mishahara kwa wafanyakazi wa Serikali wakiwemo wakufunzi na walimu, aidha wanafunzi watapata mikopo yao kwa wakati hivo kuwataka kusoma kwa bidii na baadaye kuja kulitumikia Taifa,Serikali itatengeneza miundo mbinu thabiti juu yao na viwanda kwa ajili ya wahitimu mbalimbali kupata ajira mara baada ya masomo yao. Aidha kwa upande wa walimu amesisitiza kuwapa stahiki zao na kuboresha mazingira ya kazi zao hususanai wale wote wanaofanya kazi ktka mazingira magumu.

Kutokana na hali hiyo walimu, wakufunzi na wanafunzi wote wa vyuo vikuu na taasisi mbalimbali za elimu nchini wamefurahishwa sana na namna Dr Magufuli atakavyomaliza changamoto zilizokuwa zikiwakabili kwa muda mrefu, hivo wamesisitiza kuwa nae ktka kumuongezea ushindi wa KISHINDO.

Wanazuoni hao pia wamesisitiza kutoa elimu ya ushawishi kwa makundi mengine ktk jamii na hata ngazi ya familia, juu ya mikakati ya utekelezaji wa agenda hizo za Dr Magufuli na baadaye kuweka historia ya Dunia kwa kupata ushindi wa kishindo ktka uchaguzi mkuu wa October.

Aidha wameitaka tume ya uchaguzi kuwa makini na itakapobidi kuchukua hatua stahiki kwa wagombea wote wanaotanguliza udini na ukanda ktka kampeni zao.Vipaumbele vya wagombea vizingatiwe zaidi tofauti na ajenda za udini.

HONGERENI SANA WANAZUONI KWA JUHUDI ZENU KTKA KUONGEZA USHINDI KWA DR JOHN POMBE MAGUFULI.​

wanazuoni wapi unaowazungumzia wew??au wale wa lumumba???hakuma msomi anayeshabikia wala kuisapoti ccm atakuwa ni taahira tu kama wew.
huu upumbavu mpelekee mamaako
 
Azavery lwaitama akikusikia atakufanyia kitu mbaya ambayo huwezi kumsimulia mke wako.
 
Huu uzi wako naona umeamua kuurudia tena baada ya kuona watu wameupuuza tangu ulipouweka hapa mara ya kwanza.
Mwaka huu TeamChooni mtajitekenya na kujichekesha sana.
 
Back
Top Bottom