wanawake

Hicho kishahada chako kimoja kisikuvimbishe kichwa dogo,rudi shule,watu wana masters mbilimbili na wana hekima kibao,hwaandiki utumbo kama wako katika social forums.Issue ya wazazi wako kuwa nawafanya kazi sio ya kututangazia,tafuta vya kwako.



 
Honestly,You are so disgusting!


nyie hoi tu, kuna uwezekano wengi wenu now days mnavaa nepi ndo maana wengi mnaonekana mmejaza kumbe nepi chezea kutoa kabaaang kwa wenye mitalimbo mizito mizito. Kwi kwi kwiiii.
 

Wangu ni mmoja wao!!! Mungu amenipendelea sana.
 
huo ni ujinga sio la kujisifu, mabega yakianza kupanda usijemlaumu mtu uanze kijilaumu mwenyewe. mwanaume anajisifu kazi sio kugegeda.
 
Hebu mwambie,then anajisifu ana kadgree kamoja,hata hako kadarasa kamoja hakajamsaidia,Mwanaume wa ukweli hajisifii ujinga kama huo,you must be ashamed of urself.


huo ni ujinga sio la kujisifu, mabega yakianza kupanda usijemlaumu mtu uanze kijilaumu mwenyewe. mwanaume anajisifu kazi sio kugegeda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…