Tatizo so weupe tatizo lililopo hapa ni kwamba ni mweupe anajiona mzur lakini angalia mweusi mwenye shepu nae anatabia kama ya mwanamke mweupe koz shep yake pia inamdumaza
Hii ni bonge la kampeini! Hakika rangi nyeusi ilianza kupotea mtaani ila kwa uziii huuu ,,naiman wenye nia ya kubwa weupe huku wakizaa watoto weusi tii Wameelewa.
Wanawake weusi wengi wao Watamu sana kwa bedii mgegedo time
Asante mkuu hii kuchanika inawakumba wanawake wengi wakati wakuzaa nikijiwazia cjui nitumie njia IPI mbadala ya kuja kukwepa only few hutoka salama aisee, sasa kuna rudi normal kweli mbona majanga
We angali wanawake weus wapo simpo Sana anamuheshimu mumewe Sana Hata ndoa zao hazivunjiki Kama zenu Mimi naushahid kabsaaa live nimejionea kwa macho yng mnakibur dharau na kujiona Sana
Nikupe Siri mwanaume smart Sio wale wahun wanaoa wanawake weus au maji ya kunde
Angalia vzr unaowafahamu