Wanawake wanataka wenye...


bishanga mchana nikishaanza kupokea vi meseji vya ' mme wangu leo wahi kurudi' nikifika nikakuta msosi niupendao unanisubiri mezani na pembeni kachupa ka dodoma presidential wine,nikiingia chumbani nikasikia harufu ya waridi...najua yes leo mama kayai anataka mechi......sasa kuhongwa tena basi labda huku ndo kuhongwa,,we watoa mihela kabisa?
 

basi hapo wahongwa pasi kujua. wanawake wajanja wacha kabisa network, unaitafuta toka asubuhi mnapoachana na hadi akirudi anakuta mambo supa kwanini mscheze? huwez kumpa mwenzi hela eti unamuhonga ila kuna muda na nyie wababa mnapigika kiaina basi miye mama nikichungulia wallet na kukuta ina bizinzezi kadi tu wafikiri nafanyaje? kama nina kakitu japo ka box moja si mbaya nakuwekea ili ujue huyu ni mke wala siyo mwanamke. upo hapo.
 
Mbaya zaidi hao wenye pesa wanawanyanyasa vibaya.
Naamini integrity ni zaidi ya pesa.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
mimi nasema kwa upande wangu,mambo ya hela siyafagilii.mbona uwezo wa kuzitafuta mwenyewe ninao,ni ku work hard tu.kipato ninachokipata nashukuru mungu,kwani maisha niliyokulia ilikuwa dhiki tupu,kula ndani ilikuwa ikitupiga chenga.namshukuru mama,kwa kila kitu.kuhusu suala la mapenzi,sijali mvuto naangalia tabia,uaminifu na uwe unajali,majisifu na dharau ya kumuona asiekuwa nacho kuwa sio mtu huwa sipendi. na moyo kama umependa.maybe chaguo langu ni uwe mrefu basi,maana na mimi twiga anasingiziwa
 
kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake...tafuta wa levo yako kaka ukiparamia mambo makubwa utalizwa ndugu! tafakari, chukua hatua!
 

Mkuu kwanga tatizo sio kujiendeleza,ilafaham kujiendeleza kunahitaji hela vipi kama sina hela kwa sasa?je nitapata wapi wa kunipoza moyo?
 
U have said it all dear
 
abda nikuulize Eiyer kuna umuhimu gani kuoa mtu anayejua kufanya matusi halafu hana nidhamu wala upendo wa kweli? si kweli kwamba matus peke yake ndiyo yanayojenga nyumba ni zaid ya hapo n yote waweza yatengeneza bali tabia ya mtu ni ngumu sana. Na mimi nakuuliza swali hilohilo,wewe unadhani elimu na pesa inatosha?
 
Mkuu kwanga tatizo sio kujiendeleza,ilafaham kujiendeleza kunahitaji hela vipi kama sina hela kwa sasa?je nitapata wapi wa kunipoza moyo?
Mkuu Eiyer, we si unafikiri walivyoandika UTAKULA KWA JASHO walikuwa wanatania?
 
Last edited by a moderator:

Usijali dada yangu najiamini sana na wala hilo sio tatizo kwangu.Inakuaje kama sina hela ya kujiendeleza?Unataka kuniambia sitapata mpenzi muda huu mpaka nisome?Jamani mambo gani haya?Maskini wataoa wapi na lini?
 
ngoja nikwambie Bishanga Eiyer is not std 7 as one can think or lives in such life as one can imagine but he is trying to communicate to us just to reflect the need of such class of people to me he is good at presenting his views. Bravo Eiyer

Mi sitandadi seven shauri yako!
 
Nadhani ni mtazamo wako binafsi huo, wengi hawako hivyo. Nchi maskini kama zetu mabinti wanaangalia mwanaume aliyemzidi kipato, lakini has nothing to do with someone having true love.

Eiyer like this. . . . . . . . . . . .
 

Kudadadeki. . . . . . Dada taratibu< Mmmmmmmmmmm!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Eiyer wala hayo hayatoshi labda rudi nenda kasome ilipouliza nini raha ya ndoa nafikir utapata majibu mazuri sana. so ni package ya vitu vngi sana.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…