hahahaaaah!! Michael Scofield bwana.....Na wewe tafuta wa std 7 wenzio.....!
Usione vinaelea vimeundwa! na wewe viunde vyako!
hahaha sawa basi endelea siunajua elimu haina mwisho mtu wangu....Mimi nimeishia darasa la nne bana,acha kunipandisha!
King kwenye blue hapo,yani ina maana bishanga umenipiga chini ab initio? basi ngoja nikayagawe mahela yangu msikitini/kanisani ili yapungue!Eiyer mdogo wangu, wakati ule maisha hayajani-infletikia nilikubembeleza uende shule ukagoma.
Kiukweli mie siwezi kutoka na mtu wa std 7, hata kama ana hela kama kichaa kwa sababu najua atajisikia inferior kila wakati. Na siwezi kutoka na mtu mwenye hela nyingi sana kwa sababu nitakuwa sensitive akichelewa miadi tu nitaona ananidharau. Staki kusikia 'baby, naomba tusitoke/nisije kukuona, kuna business deal imejitokeza....', nita-fume japo ingekuwa ni dili la mzigo wa vitunguu ningekuwa fresh.
Ila kaka, kwani hata wewe si una vigezo vyako kabla ya kumtokea binti? Waache na wao waweke vigezo. Mi naulizaga cv na bank statement za miezi 3 upfront kabla hata ya utani wa kimapenzi,lol
Eiyer mdogo wangu, wakati ule maisha hayajani-infletikia nilikubembeleza uende shule ukagoma.
Kiukweli mie siwezi kutoka na mtu wa std 7, hata kama ana hela kama kichaa kwa sababu najua atajisikia inferior kila wakati. Na siwezi kutoka na mtu mwenye hela nyingi sana kwa sababu nitakuwa sensitive akichelewa miadi tu nitaona ananidharau. Staki kusikia 'baby, naomba tusitoke/nisije kukuona, kuna business deal imejitokeza....', nita-fume japo ingekuwa ni dili la mzigo wa vitunguu ningekuwa fresh.
Ila kaka, kwani hata wewe si una vigezo vyako kabla ya kumtokea binti? Waache na wao waweke vigezo. Mi naulizaga cv na bank statement za miezi 3 upfront kabla hata ya utani wa kimapenzi,lol
Pumbaf kabisa tena huwa ni mtu wa kujipa raha sana outing kama akitaka twende akiona vipi abaki mm naenda na nilaazima every weekend nitoke na kids na sik moja moja nimpigie tukae japo one for the road.
PM copy to bishanga pliiiiiizzzzz...
. ngoja nikuandikie pm just a story of ma life you will understand what i mean
Mkuu Ukitaka kuelewa haya maswala inabidi urudi sana nyuma kihistoria kaka mkubwa!
Kwa sababu hii ni side effect ya ule mfumo wetu asisi (Its 'mfumo dume on backfire').
Mfumo Dume kama unavyoujua unahitaji wanawake wawe ma majukumu fulani ambayo unayajua...sasa Kuwa na uwezo kifedha, kiupeo, kiuongozi na kijamii kumzidi mwanamke ni sifa ya mume. Kwenye hii system lazima mwanamke ataridhia maombi ya aliyemzidi vitu vyote hivyo! Ndo maana haikushangazi ndoa nyingi wanawake ni wadogo kiumri kwa ulinganisho na waume zao (Hii ni kuwapa muda wanaume waweze kutangulia)...
Halafu mkuu kwani unashindwa kujiendeleza kielimu...Trust me ukiangalia vizuri walioishia darasa la saba wamependa
(Utasema wazazi hawakuwa na uwezo, kwani si umekua na kufanya kibarua? mitihani ya qt bei rahisi sana tu).
Now, kama umependa kuishia darasa la saba, kuna dhambi gani mwanamke akataka aliyeishia sekondari?
kufanya matusi ndo ni tena @gfsowin? kwenye ndoa watu wanafanya matusi kweli?labda nikuulize Eiyer kuna umuhimu gani kuoa mtu anayejua kufanya matusi halafu hana nidhamu wala upendo wa kweli? si kweli kwamba matus peke yake ndiyo yanayojenga nyumba ni zaid ya hapo n yote waweza yatengeneza bali tabia ya mtu ni ngumu sana.
Mimi nimeishia darasa la nne bana,acha kunipandisha!
Nadhani ni mtazamo wako binafsi huo, wengi hawako hivyo. Nchi maskini kama zetu mabinti wanaangalia mwanaume aliyemzidi kipato, lakini has nothing to do with someone having true love.Ukweli ni kwamba, wanawake wengi mimi included tunataka mwanaume ambaye anakupenda na he can take care of you, financially na kimawazo na kimtazamo; hivyo basi tungeprefer au tunadream kuwa awe na uwezo kukuzidi (kama wewe unao any), elimu/uelewa wa mambo kukuzidi n preferable hata akuzidi walau miaka 2.
Ukipata unaye mzidi hivyo vyote juu, hata kama unanpenda kiasi gani, kama uelewa wake mdogo ndoa huwa na shida sana. Nami nimeshashuhudia my friends ambao ndoa zimevunjika coz mwanaume hajiamini na kuamua kuwa physical just to prove yeye ndie man of the house.
I was in a sort of the same relationship, sikumzidi pesa, but elimu na mafanikio; siwezi rudia bora niwe peke yangu aisee!
Sikatai, kuna baadhi yetu tunakuwa na nyodo lkn ni wachache sana kuliko wanaume mnavyopenda kujiaminisha ktk story zenu kiasi kwamba mnaanza kujihami kwa ubabe usio na kichwa wala miguu.
Kuhitimisha nasema, wanawake hatupendi kudanganywa but tunahitaji mwanaume tunayeweza mtegemea!
Mwanamke anataka mwanaume mwenye hela, elimu kubwa na sura kama ya mdoli.
gfsonwin mkianzia wote chini, hiyo ni tofauti; tena mara nyingi mkija kufanikiwa wengi wa wanaume husahau mlipotoka na kutafuta vimodel kwamba ndio hadhi yao at that moment.
Lkn mwanamke akiwa juu, chances kubwa sana ya ndoa kuwa na matatizo. Too bad kila mtu anahitaji mapenzi lkn isingekuwa hivyo, kuliko kugamble looking for an 1 understanding man among 10, bora kuwa mwenyewe!
mpendwa gfsowin,kwenye hako ka red ,katika kujipa raha raha mwenyewe ,hizo raha huwa zinakwenda mpaka kwenye mahanjam pembeni.....just curious.....