Wanawake waislamu wanaheshimu ndoa zao kuliko wanawake wa kikristo

Status
Not open for further replies.

Bernard bakari

JF-Expert Member
Mar 30, 2016
407
781
Katika chunguza chunguza yangu nimekuja kugundua kuwa wadada wa kiislamu wanaheshimu zaid ndoa yao kuliko ambavyo wadada wa kikristo hufanya katika ndoa zao.

Ifahamike kuwa uchunguzi huu ni wa kijumla si wa mtu mmoja mmoja, haimainishi kuwa hakuna wadada wa kikristo wanaoheshimu ndoa zao la hasha wapo tena wengi sana, na pia wapo madada wa kiislamu wasioheshimu ndoa zao lakini katika takwimu za ujumla madada wa kiislamu hujali ndoa zao kuliko wa kristo.

Sababu kubwa niliyobaini ni ule upendeleo waliopewa wa waume zao kuweza kuoa wanawake mpk wanne. Hali hiyo huwafanya wanawake wa kiislamu kujali na kuheshimu ndoa yao kwa kiwango kikubwa lengo lao kubwa ni kuwavutia waume wao wasipate hamu wala wazo la kutafuta mwingine.

Hali hii huwa tofauti kwa madada wa kikristo walioambiwa na imani ya dini kuwa mme wake haruhusiwi kuoa tena hivyo mara nyingi hujibweteka na kutoifanyia ndoa yake vyema
 
Kuheshimu ama kutoheshimu ndoa ni utashi binafsi wa mwanamke.

So usihusishe dini kwenye hili, wapo wanawake tunawajua ni wake wa maustadh, wanawake swala tano ila malaya tu.
Wapo wanawake ni walokole, ni wake wa walokole, wameshika dini kwa mbwembwe zote ila bado nyama wadau wanapiga tu.

Binafsi siungi mkono hoja yako.
 
Msimlaumu mtoa, mada amebwabwaja without proper research! Huo ni mtazamo wake tu. Kwani without research no right to speak! Otherwise should be worse!!!!!
Lakini na mzee wa Upako mchungaji Anton Lusekelo alisema madada zetu wa kikristo hawana changamato baada ya kujua waume zao hawaruhusiwi kuoa tena je naye ni mwislamu?? Maoni tu
 
Kila mmama anaechepuka namuona ni muislam
Hasahasa wenye majina ya
Aisha
Asha

Wengi wa hawa hugawa sana
Mwenyewe kuna mmama wa kihislam ananifatilia sana
Kuna mwingine dakika tano kabla ya kumla alinambia anamme na cjui why nililala nae sikuhiyo
 
I keep hold, my word! Mzee wa upako ni binadamu kama wewe tu Naye ni Mawazo yake..... Ole wao wamtumainiaye na kumwamini Mwanadamu......
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom