Wanawake wa staili hii, wanakera mno


yaani jinsi atakavyomwacha jamaa ake ndivyo atakavyokuache na wewe
 
and then akishakuwa na wewe, akatongozwa na mwngn atakuacha wewe na kwenda kwa huyo...so ni juu yako kuamua
 
nakushauri achana nae kk kwani siku zote msichana mwenye nia ya kuwa na ww utamuona tu na hawezi fanya hivo chamsingi piga chini na ujifanye kama haijawahi tokea
 
Toka jana nimemkaushia!No sms,no calling! Naye pia kakausha vivyo vivyo,duh let me look for another fish in the sea,kama mdau hapo juu alivonishauri!
 
nakushauri achana nae kk kwani siku zote msichana mwenye nia ya kuwa na ww utamuona tu na hawezi fanya hivo chamsingi piga chini na ujifanye kama haijawahi tokea

Thats true joshboy!
 

Karne hii kuna kupendana kweli?
 
Inajuaje kama yeye namba yako anayo?
 
Toka jana nimemkaushia!No sms,no calling! Naye pia kakausha vivyo vivyo,duh let me look for another fish in the sea,kama mdau hapo juu alivonishauri!

no don't look 4 another fish budy..unachotakiwa kufanya ni kuendelea kuwa nae na kufanya kila unaloliweza kuhakikisha anaitambua thaman yako...hopely u got me right.
 
Mwanamke ukimruhusu akupande kichwani atakutesa sana....

Na hicho ndicho ulichokifanya.
 

Fanya unavyofanya🌚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…