ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,605
- 2,729
Mimi sio mwepesi kulalamika ukiona ivi jua nshafanya maamuzi tusilaumiane.Wanekusikia njomba.
Mko barabarani utampigaje mashine?Mwanaume halisi mwenye kujiamini hawezi bishana na kukwaruzana na mwanamke. Ni kujiongezea stress tu
Mwanamke dawa yake ni kuwa cool tu, akileta mdomo mdomo , mpige mashine ya maana. Mpaka papuchi ikauke
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah huku mikoani tunawapiga mashine wakiwa wanatembea road hivyo hivyo.Mko barabarani utampigaje mashine?
Ulikuwa unakutana nae kila siku mkuu??Nilimpiga kikumbo demu mmoja huyo
kama nacheza rugby aliyumba wiki nzima
UmeanzaaaNilimpiga kikumbo demu mmoja huyo
kama nacheza rugby aliyumba wiki nzima
Wakuu mimi ni mtembea kwa miguu mzoefu apa Dar, lakini ninakumbana na kero ya kina mama kujifanya wababe wakati nguvu hawana. Unajitahidi kumkwepa mwanamama lakini yeye anatunisha kifua mpaka akugonge tu afu utasikia samahani msipobadilika tukikutana ntawapush na ukileta mdomo utajuta. Ninyi ni hodari kuwalaumu wanaume wa dar sasa hii nitaadhali.
Kama wewe unatembelea gari pita kushoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni mala ya pili tegemea vilio baada ya muda. Ila kwangu ni mala yakwanza subirini mrejeshoMara ya pili hapa JF haya malalamiko ya vikumbo kwa wanawake wa dar
Sent using Jamii Forums mobile app