Wanawake wa Dar hasa watembea kwa miguu tutaonana wabaya kwa kujifanya wababe

ichumu lya

JF-Expert Member
Aug 11, 2016
2,605
2,729
Wakuu mimi ni mtembea kwa miguu mzoefu hapa Dar, lakini ninakumbana na kero ya kina mama kujifanya wababe wakati nguvu hawana.

Unajitahidi kumkwepa Mwanamama lakini yeye anatunisha kifua mpaka akugonge tu afu utasikia samahani msipobadilika tukikutana nitawasukuma na ukileta mdomo utajuta.

Ninyi ni hodari kuwalaumu wanaume wa Dar sasa hii ni tahadhali. Kama wewe unatembelea gari pita kushoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wakosefu wa adabu tu.Mwanamke mwenye kujiheshimu ataanzaje kutaka apigane vibega na akina baba au kung'ang'aniza apite katikati ya wanaume?
 
Kungekuwa na utaratibu wa kutembea upande mmoja na kupishana kama magari
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…