Wanawake tena wengine wake za watu, mnajisikia raha gani kuliamsha "Dude" wakati wote?Badilikeni

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,652
14,247
Hali kwa sasa imekuwa mbaya sana hasa kwa sisi ambao tunazunguka mitaa mbalimbali town na mitaani sometime unakutana na majaribu makubwa kushinda hata ya ayubu.

images.jpg
bigger-butt.jpg
IMG-20150805-WA0010-1.jpg


uvaaji wa dada zetu siku hizi unazidi kuwa mbaya. wakati mwingine unajiuliza ni kweli wana nia ya kuvaa au walitaman wawe wanatembea tu uchi? hapo hujatembelea facebook na insta...ni balaa kubwa sana. why? kwa nini? lengo lako bidada ni nini?kuliamsha dude? halafu iweje?

unaweka picha ya kutega halafu unabinua kiuno na midomo unaweka kama unapuliza moto au unanyonya ice cream za miaka ile ya 90 tukiwa shule. hii ina maana unatangaza biashara gani. halafu mtu akikudokezea unakuja juu eti wewe nke wa ntu. sasa kama mke wa mtu kwa nini ukaliamshe dude la mwanaume mwingine?

angalia picha za wanawake walio humu jamii forums. wameweka picha kwenye profile zao za wanawake ambao nao si haba..mashallaaah kwa makusudi kabisa lengo ni nini? kwa nini usiweke picha ya mwanamke aliyevaa kwa staha? huu nao ni aina ya ulimbukeni. halafu kutwa kucha mnasema wanaume wana wanyanyasa. kumbe mnajinyanyasa na kujidhalilisha wenyewe.

wito wangu. msiyaamshe madude yasiyo wahusu au usiliamshe dude wakati huwezi lituliza likarudi usingizini. kwan wahenga walisema "alalaye usimwamshe......"
 
Ugumu wa maisha unawafanya wawe wabunifu kuuza bidhaa yao kimya kimya…
 
Inaelekea tulichokufanyia wanawake ni kikubwa mno na usipoangalia tutakufanya uwe chizi kabisa.

Vingine vumilia sio kila jambo lazima likukere.
 
Inaelekea tulichokufanyia wanawake ni kikubwa mno na usipoangalia tutakufanya uwe chizi kabisa.

Vingine vumilia sio kila jambo lazima likukere.

saa kwa mfano utavumia mangapi huyu kavaa pedo yule tyt inayochora nyapu utavumilia kweli.........

alafu sifai kukuuliza ilo swali maana wee ni ke

ila usi support bhana........ alafu nadhani wee ni mke wa mtu mwanao utakuwa unamvalisha nusu uchi
 
saa kwa mfano utavumia mangapi huyu kavaa pedo yule tyt inayochora nyapu utavumilia kweli.........

alafu sifai kukuuliza ilo swali maana wee ni ke

ila usi support bhana........ alafu nadhani wee ni mke wa mtu mwanao utakuwa unamvalisha nusu uchi

Katika nilichoandika wapi unaweza sema nime support uvaaji uchi

Nionavyo kuhusu mavazi ningumu kumpangia mtu namna ya uvaaji kwa sababu kila mtu amelelewa kwa aina yake.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kusema ukweli hakuna VIUMBE NINAVYOVIPENDA KAMA WANAWAKE.... HAMNA. Na ndo maana nawapigania maana wameumbwa kwa uzuri wa pekee. Na pia wana kitu kitamu ajabu chenye sura ya kuvutia. Siwachukii wanawake. Isipokuwa sipend wafanya mambo ya hovyo wakaharibu utamu wangu. Mimi na mabint ni kama kucha na kidole au ngozi na nyama. Hatuwez tengana
 
Kusema ukweli hakuna VIUMBE NINAVYOVIPENDA KAMA WANAWAKE.... HAMNA. Na ndo maana nawapigania maana wameumbwa kwa uzuri wa pekee. Na pia wana kitu kitamu ajabu chenye sura ya kuvutia. Siwachukii wanawake. Isipokuwa sipend wafanya mambo ya hovyo wakaharibu utamu wangu. Mimi na mabint ni kama kucha na kidole au ngozi na nyama. Hatuwez tengana


Wewe una stress zako za maisha unataka uhamishie uchungu wako kwa wanawake.
Kila siku wewe tu na mada zako kuhusu wanawake? leo hili mara lile
Embu achana na wanawake tafuta pesa jamaa
 
Back
Top Bottom