ulaya12
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 834
- 898
Huwa ninajiulizaga tangu muda mrefu kuhusu ujasiri walionao wanawake, na leo nimeona bora niwashirikishe wana jf. ni hivi "inapotokea umemtongoza mwanamke, msichana au vyovyote vile akikubali mkatoka naye kwenda kufanya yenu huwa hawajiulizi kuwa huyu ninayetoka naye nitammudu "hapa ninamaanisha kuwa kunawanamme wengine wana maumbile makubwa sana (uume) sasa ikishatokea hivyo na tayari mmeshajifungia ndani na ndiyo anakuta jamaa ana mzigo wa hatari wakati amekuhudumia chakula,kinywaji,usafiri na wewe unagwaya baada ya kuuona mzigo itabidi upambane na hali iliyopo maana jamaa hawezi kukuachia uondoke hivihivi. kwahiyo nawashauri wakina dada muwe mnafanya uhakiki kwanza vinginevyo mtakuja kuchanika "K"