Wanawake ni majasiri sana

ulaya12

JF-Expert Member
Nov 16, 2017
834
898
Huwa ninajiulizaga tangu muda mrefu kuhusu ujasiri walionao wanawake, na leo nimeona bora niwashirikishe wana jf. ni hivi "inapotokea umemtongoza mwanamke, msichana au vyovyote vile akikubali mkatoka naye kwenda kufanya yenu huwa hawajiulizi kuwa huyu ninayetoka naye nitammudu "hapa ninamaanisha kuwa kunawanamme wengine wana maumbile makubwa sana (uume) sasa ikishatokea hivyo na tayari mmeshajifungia ndani na ndiyo anakuta jamaa ana mzigo wa hatari wakati amekuhudumia chakula,kinywaji,usafiri na wewe unagwaya baada ya kuuona mzigo itabidi upambane na hali iliyopo maana jamaa hawezi kukuachia uondoke hivihivi. kwahiyo nawashauri wakina dada muwe mnafanya uhakiki kwanza vinginevyo mtakuja kuchanika "K"
 
Mwenyezi Mungu na akugeuzie upande wake ulitafakari sana neno lake badala ya haya ya kidunia
 
Hata mwanaume kwenda na mwanamke ambaye hajawahi kuona uchi wake ni ujasili, huwazi unaweza kukuta hata ni li shemale hivi
 
Back
Top Bottom