Wanawake na uwezo wa kujizuia kutofanya tendo la ndoa

SON OF THE LAND

JF-Expert Member
Oct 7, 2015
204
210
Katika hawa viumbe wawili mwanamme na mwanamke, mwanamke kapewa uwezo mkubwa wa kujizuia au kutopenda kufanya tendo la ndoa kwa muda mrefu sana na hili nafikiri ni jambo la neema kwao, sababu lina faida nyingi sana ambazo wengi wao wamekua hawajui, sasa nitaongea kidogo sio kiulokole hapana ni general knowledge na ukitaka kui convert kwenda ki imani unaruhusiwa, sasa kutokana na mabadiliko ya kidunia 'mwendokasi'' hata shetani nae amekua mbunifu sana wa mambo yake na kwa kizazi hiki cha sasa amekuja na style moja ambayo inamfaidisha sana na inakamata kila rika na jinsia.

Sasa basi sehemu ambayo anaitumia sana kwa sasa ni hili tendo la ndoa, hili linaonekana lina mafanikio kwa sana, na ndipo hapo hapo anakamatia watu wake wengi, kaingiza nguvu zake nyingi kwenye tendo hilo ili kusitisha au ushindwekufanikisha, nafanikio ya watu wengi yameharibika kupitia hilo tendo unawezakujikuta dream zako zote zinapotea ndipo anapochukua uhalali wako wooote hapo, from masomo, utajiri, mahusiano ya kudumu ya kimapenzi na mume au mke napia ndugu na marafiki, ile kutenda tendo hilo hapohapo nguvu za MUNGU hua zinaondoka unabakia wewe na devil na hapo sasa ndio Devil anapochukua nafasi ya kuweza kukuhukumu atakavyo ndio mana unakuta watu wengu especial vijana tuna stragle na maisha wengi wetu sababu kuu ni hio, sasa nimeona nishee na vijana wenzangu kuhusu hili unaweza fanya majaribio acha kabisa ngono then try kuomba either ni kazi au ufaulu shule utaniambia.

Na kwa wanawake nimewalenga nyinyi zaidi kwa maana mmepewa huo uwezo wa ku persist muda mrefu bila hilo tendo na muitumie hio nafasi ya kutofanya ili mfanikiwe na matokeo yake mtayaona haraka sana hio ndio faida kubwa kuliko zote mafanikio ya kimaisha ukiacha hizo nyingine ambazo ni usual zinajulikana kama UKIMWI, other magonjwa kufumaniwa na mengineyo, mimi naandika hili sio kama msafi kivile but ninajaribu kujizua kadri Mungu atakavyo nisaidia kuyashinda haya majaribu, na kwakweli wakati wengine wanalia na Magufuli eti hela hamna mtaani mi naona hela zipo tu kwa account cos matumizi nayotumia ni yakawaida ambayo hayamalizi pesa compare na ku deal na wanawake nadhani mmenielewa.

Only fanya na mtu mlio oana (ndoa)
 
unajua tushikariri kwa siku hizi wanawake sio wavumilivu kabisa yani week tu kuimaliza shughuli ila kuna baadhi ni wavumilivu na hata wanaume wa namna hiyo wapo kuna baadhi
 
unajua tushikariri kwa siku hizi wanawake sio wavumilivu kabisa yani week tu kuimaliza shughuli ila kuna baadhi ni wavumilivu na hata wanaume wa namna hiyo wapo kuna baadhi
ya dada zetu wana ny*g* sana siku hizi
 
Ili mtu angonoke inabidi awe na ugwadu/nyege. Ili mtu awe na ugwadu inabidi testesterone hormone iactivate sehemu ya ubongo(hypothalamus), baada ya hapo ubungo unatuma damu kwenda kwenye aidha papuchi kwa ke au dushelele kwa me then muhusika anaanza kutafuta opposite anayohitaji.

Mwanaume anakuwa na ugwadu muda mwingi coz ana kiasi kikubwa cha testesterone, ambayo ni mara 15 mpaka 20 kuliko mwanamke. Hii hormone kwa mwanaume inamiminika kwenye damu mara 6-8 per day. Hii ndiyo sababu kubwa kwa mwanaume kuwa sexually active most of the time under normal condition. Nature imefanya iwe hivyo ili kumuwezesha mwanaume kuzalisha kwa wingi ili jamii ya mwanadamu iendelee kuwepo.

Mwanamke kwa upande mwingine, wengi wao hawangonoki kama me coz wana kiasi kidogo cha testesterone, ambayo humiminika kwenye damu kwa wingi kile kipindi kabla ya red moon. Nature hufanya hili litokee ili kumpa hamu ya me na kuja pamoja kuzalisha.

Mwanamke kutopenda kungonoka hovyo ni natural law inayomzuia asijepata mimba hovyo ili alee watoto alionao kwa muda wa kutosha kabla ya kupata wengine.

So big boys up there if U think like having it, go for it knowing that we are not slaves of our own biology.
 
Ngoja nikakiulize nitareta mrejesho


muombe MUNGU akuongoze hakuna utofauti kwa wanawake wote mpo sawa inategemeana na how many mapepo yamekuingia wewe thats why nakuambia omba hio isikutokee ni raha sana ku stay free os sex thamani yenu ni kubwa sana thats why ujanja wenu mara nyingi hua unaisha pale mwanamme atakapo kuingilia tu huwa mnajihisi mpo watupu na hamna thaman na ujanja huo ni mfano mmoja wapo ndivyo inavyokua katka ulimwengu wa kiroho unakua mtupu empty unakua kama kopo nothin in you out and inside

pray my sisiter its very easy.
 
muombe MUNGU akuongoze hakuna utofauti kwa wanawake wote mpo sawa inategemeana na how many mapepo yamekuingia wewe thats why nakuambia omba hio isikutokee ni raha sana ku stay free os sex thamani yenu ni kubwa sana thats why ujanja wenu mara nyingi hua unaisha pale mwanamme atakapo kuingilia tu huwa mnajihisi mpo watupu na hamna thaman na ujanja huo ni mfano mmoja wapo ndivyo inavyokua katka ulimwengu wa kiroho unakua mtupu empty unakua kama kopo nothin in you out and inside

pray my sisiter its very easy.


Povu ONLINE
 
Labda mashetani yakutwe hayajapanda na yakipanda ni balaa usiombe pamoja na kuwa na homoni chache hizohizo zikichanganya ni mziki mwingine.
 
Back
Top Bottom