Wanawake na harufu mbaya ukeni

Wanawake na harufu mbaya ukeni

1.Uchafu. kama huku (........) wanawake wengi ni wachafu, kuoga ni kwa nadra wanasingizia baridi. wanavaa nguo nyingi, kuipata papuchi umefanya nguvu ya ziada.

2.Magonjwa ya zinaa. Haina haja ya maelezo mengi, ukiwa na magonjwa ya zinaa lazima kuwe na hali isiyokuwa ya kawaida.

3.Umalaya. kuchanganya shahawa za wanaume tofauti, zinareact, patatoa uvundo tu.

4.viungo vya kuboresha, mara kuwekea ndimu sijui magadi, kupaka asali kumbe ndio unaharibu kabisa
Daaaaa Hii kweli nayo inachangia
 
K gani isiyonukia? K kunukia ni sunna. Lazima kaharufu kwa mbaaaali. Nyie mnaozama kazi kwenu.
 
Wengine wanatoa mimba mabaki ya uchafu yanabaki kwenye shingo na tumbo la uzazi yanaoza!

Harufu yake ni kama mzoga wa paka!

Umalaya unawaponza!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom