chumanil
Senior Member
- Jan 20, 2018
- 121
- 73
Tuanze kwa kumshukuru m/mng kwa kutupatia pumzi cku hii ya leo.Wapo wenzetu,wanao pigania uhai wao maospitarini,wapo walio tanguria mbele za khaki.Rakini yote ni mipango yake mola wetu.Turudi mada kuu.
Nawaheshimu sana wanawake,rakini katika hili hapana.Mna jua nusu ya maisha yenu ni nitegemezi kuazia mavazi,kula,kulala?
Haitoshi tukiwaitaji kuwaoa basi shariti tunatoa chochote ilimradi usije bure kwangu.Hali hiyo aitoshi kutuheshimu na kutunyenyekea?Haswa wewe uliyeolewa unajua jukumu analolibeba mwanaume kuanzia ngazi ya familia mpaka kwa Mungu?
Ni vipi kuhusu maisha yako hujui kuwa mwanaume ndio muhimili mkuu ndani ya maisha yako ya kila siku iweje mgeuke miiba kutuchoma.Hata uwe kama nani hapa duniani,lakini unapaswa kutambua mwanaume ndio nguzo yako.Muache kutushika sharubu.
Mnajitahidi kweli kuishawishi dunia,ili muwe juu kutuzidi wanaume,lakini haitowezeka.Mungu ameshapanga hilo.Pia wanaume tusitumie mabavu kuishi nao. Mungu katupa uwezo mkubwa wa kuishi nao hawa watu.Kama unamfuga mnyama na akakuelewe iweje mwanamke kiumbe dhaifu akushinde?Ishi kwa akili.
Nawaheshimu sana wanawake,rakini katika hili hapana.Mna jua nusu ya maisha yenu ni nitegemezi kuazia mavazi,kula,kulala?
Haitoshi tukiwaitaji kuwaoa basi shariti tunatoa chochote ilimradi usije bure kwangu.Hali hiyo aitoshi kutuheshimu na kutunyenyekea?Haswa wewe uliyeolewa unajua jukumu analolibeba mwanaume kuanzia ngazi ya familia mpaka kwa Mungu?
Ni vipi kuhusu maisha yako hujui kuwa mwanaume ndio muhimili mkuu ndani ya maisha yako ya kila siku iweje mgeuke miiba kutuchoma.Hata uwe kama nani hapa duniani,lakini unapaswa kutambua mwanaume ndio nguzo yako.Muache kutushika sharubu.
Mnajitahidi kweli kuishawishi dunia,ili muwe juu kutuzidi wanaume,lakini haitowezeka.Mungu ameshapanga hilo.Pia wanaume tusitumie mabavu kuishi nao. Mungu katupa uwezo mkubwa wa kuishi nao hawa watu.Kama unamfuga mnyama na akakuelewe iweje mwanamke kiumbe dhaifu akushinde?Ishi kwa akili.