Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
Jamani wanawake muwe na huruma japo kidogo sometimes huwa hatutaki kuongea uongo lakini mnatulazimisha!
Eti baby!umeshawahi kudate na wanawake wangapi?
Mzee mzima ukianza kujumlisha Mara kuzidisha utanikuta kigugumizi cha gafla kinakushika na macho yanakuwa mekundu!unaamua kumjibu tu kikauzu wewe ni wa pili Baby kumbe ni 2×12
Eti baby!umeshawahi kudate na wanawake wangapi?
Mzee mzima ukianza kujumlisha Mara kuzidisha utanikuta kigugumizi cha gafla kinakushika na macho yanakuwa mekundu!unaamua kumjibu tu kikauzu wewe ni wa pili Baby kumbe ni 2×12