Kuna binti
nilimuomba awe Girlfriend wangu akakataa, alidai hataki mahusiano ya
kawaida labda kama ni uchumba.
Nilimjibu siko tayari.
Niliamua kumpotezea, tunaonana mtaani, wakati mwingine tangu hapo ni
miaka miwili sasa.
Cha ajabu wakati mwingne hunipigia simu na kuniomba hela, nishamtumiaga
mara moja kiasi kidogo, ila juzi tena kaniomba hela, so simuelewi huyu
binti ana nia gani?
Msaada mabinti.