Wanawake mnajiona keki

Wanawake mnajiona keki

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,985
Reaction score
25,195
Na hizo photoshoot zenu plus Make up mixer location basi mkishabinua hivyo vimakalio vyenu na kupost picha mbili tatu mnajiona kekii wenyewe.

Sasa tu niwaambie hizo photoshoot zinawapamba bure tu uhalisia ni kwamba sisi tukishawavua tunawaona poyoyo tu ata ile mibinuko yenu ya location hatuna matumizi nayo.

Mmemuona mwenzenu Nandy alivyoumbuka jana ,Nandy yule wa location kali na Nandy Mchupi yule tulimuona jana ni tofauti kabisa.


Kuweni simple and real tu kwani shi ngapi?

Hayo makalio ya kubust yasikufanye ukajiona wewe ndio wewe kitaa,
Zaidi tu kaa na kuyalaumu makalio yako kwani ni kisababishi cha dhambi sana mnawafanya vijana wawaze kuzibua hiyo mitaro japo ni haramu.

Ndugu zangu wa Facebook mi sina neno na nyie mko Real kinyamaaa mpaka Raha ila ndugu zangu wa huko kwingine msijione keki .



 
Walioko fb ndio walioko insta na kwingineko

Ila ukweli hali ni mbaya

Kwahiyo mkitufunua tunakuwa mapoyoyo? Na mama yako yupo kundi hili yani baba yako anamuona poyoyo tangu amfunue!!! Kuna kauli nyingine muwe mnazifikiria kabla hamjaropoka
Wow, beautiful smile, beautiful look, yani beautiful beautiful beautiful beautiful everything in you and your comments are beautiful too........ ..... Nimekupenda bure
 
Walioko fb ndio walioko insta na kwingineko

Ila ukweli hali ni mbaya

Kwahiyo mkitufunua tunakuwa mapoyoyo? Na mama yako yupo kundi hili yani baba yako anamuona poyoyo tangu amfunue!!! Kuna kauli nyingine muwe mnazifikiria kabla hamjaropoka
Kwani kuna mmama wa mtu humu anaingia location na photoshoot mixer make up na kubinua matako?

Kama yupo basi hiyo mada nae inamuhusu ni poyoyo tu kama hayupo hiyo mada haidili na hao watu wasiofanya hivyo vitu nilivyosemea.
 
Kwani kuna mmama wa mtu humu anaingia location na photoshoot mixer make up na kubinua matako?

Kama yupo basi hiyo mada nae inamuhusu ni poyoyo tu kama hayupo hiyo mada haidili na hao watu wasiofanya hivyo vitu nilivyosemea.
Sawa zero aiqyu
 
Walioko fb ndio walioko insta na kwingineko

Ila ukweli hali ni mbaya

Kwahiyo mkitufunua tunakuwa mapoyoyo? Na mama yako yupo kundi hili yani baba yako anamuona poyoyo tangu amfunue!!! Kuna kauli nyingine muwe mnazifikiria kabla hamjaropoka
Jeiefu una jinsia ngapi?
 
Back
Top Bottom