Mrisho com
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 3,894
- 3,919
Baada ya kuona kimya hata siku angalau wanawake kuanzisha uzi unaohusiana na jambo linalowapeleka kwa waganga wa kienyeji ili kupata wanaume (ndoa) na kutuhabarisha kinachofanyika huko.
Tunataka mtuonyeshe/mtuhabarishe mambo mnayokutana nayo kule kwa hao wataalamu na pia tunataka kujua mnatumia vigezo gani ili kumuelezea mtaalam mtu unae mtaka.
WANAWAKE UZI WENU HUU HAPA MJE HUKU
"simu yangu touch inasumbua sana ndio maana nimeshinda kuandika kwa kirefu zaidi, KARIBUNI"
Tunataka mtuonyeshe/mtuhabarishe mambo mnayokutana nayo kule kwa hao wataalamu na pia tunataka kujua mnatumia vigezo gani ili kumuelezea mtaalam mtu unae mtaka.
WANAWAKE UZI WENU HUU HAPA MJE HUKU
"simu yangu touch inasumbua sana ndio maana nimeshinda kuandika kwa kirefu zaidi, KARIBUNI"