Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 620
Habri zenu wana MMU'
Nimekua nikijiuliza mara kwa mara kuhusu system wanayotumia wanawake kufichua watu wanaowasumbua kwa kuwahitaji ki mapenzi ambapo mwanamke huamua kumwambia bwana yake na kumpatia namba ya huyo bwana anayemsumbua je, hiyo ndo solution ya kutatua tatizo?
na katika upande wa wanaume wanafanya hivyo kwel kwa wale wanawake wanaowasumbua ki mapenzi?
Hebu share ujuzi wako katika hili.
Nimekua nikijiuliza mara kwa mara kuhusu system wanayotumia wanawake kufichua watu wanaowasumbua kwa kuwahitaji ki mapenzi ambapo mwanamke huamua kumwambia bwana yake na kumpatia namba ya huyo bwana anayemsumbua je, hiyo ndo solution ya kutatua tatizo?
na katika upande wa wanaume wanafanya hivyo kwel kwa wale wanawake wanaowasumbua ki mapenzi?
Hebu share ujuzi wako katika hili.