Wanawake hii ni challenge au?

Wanawake hii ni challenge au?

Dumuzii

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
3,601
Reaction score
8,687
Kama ni challenge mmeamua kuifanya tuwekeni wazi maana sio kwa Hali hii.

Wanawake nyie ni mama zatu ,Dada zetu , watoto wetu mmekutwa na Nini.....? Ni uhaba wa wanaume au ni Nini .....?

Au mnalipwa kufanya huu ujinga wa kucheza na vyupa na makopo ya soda ili mtangaze biashara za watu.....?

Au ni umasikini umepelekea yote haya maana sio kwa speed hii .

Au ni chalenji mmeamua kujifurahisha ila kiukweli inashusha Sana heshima zenu hii hata ile tishio la kutulaani titaanza kulivhukulia poa na tutawaona Kama midoli tu .

Jiheshimuni bana ...! Bado tunawahitaji mkiwa salama huko mnako elekea siko.
 
Me ndomana nawaambiaga watu usishindane na k,asa we mtu anazamisha chumba ya heineken yote, huyo wakushindana nae?
Hawa vijana wadogo hawaelewi hata uwaambie nini
 
Umeona na ya heinken eeh

Anyway ni anasa za dunia tu, kila mtu anafanya kimfurahishacho
Yule wa chupa ya heinken nilingalia nikasema “ihiiilii”,yule ndo akutane na mtu sijui ampakie mkongo sijui takataka gani atakuwa anajiumiza mwenyewe tu maana yule ameshakuwa sugu.
 
Back
Top Bottom