Wanawake chukueni huu ujanja

Ni watu wasiojitambua tu ndiyo hufanya hivi. Good times zote mlizokuwa pamoja huzikumbuki na umeamua kumkomoa na kumnyang'anya zawadi zote. Ni akili ya kitoto.

Jana nimemsema binamu yangu hadi kamrudishia Ex wake simu.

Ni ushamba uliopitiliza kumnyang'anya mtu vitu mlivyopeana kisa mumeachana.
 

Hana lolote.. unamlea tu wewe...
Mwambie jaribu uone... atagwaya!
 
Hahaha kma wanaweza wajipe utamu wenyewe
 
Hivi mwanamke kupigwa vinane nani anapoteza nguvu? Nani anapata raha zaidi? Nani anatakiwa kulipwa baada ya shughuli kama kigezo in WORK DONE=FORCE x DISTANCE (nani anasukuma, nani anasogea) OR WORK DONE = POWER x TIME TAKEN?
Raha ni kuwa unapiga hizo nane na huyo mwanamke humridhishi, kwahiyo mara sio kigezo cha kimfikisha mtu, unajua CHEMISTRY wewe? Basi acha tutumie term ya QUANTITY vs QUALITY. Hapa tu ndipo wanaume wengi wanaachwa Chaliiiii
 
Wengine ili kumpata inabidi uhonge makabati vitanda ada hewa za shule nk ndio unagonga mzigo sasa kama mnaachana mizigo ya nn tena wewe sepa kama ulivyo katafute papuchi nyingine uhonge ule mambo
 
Don't try it kwa mwanaume was kikurya
 
Huyo anayehongwa mpaka kitanda ina maana kabla ya huyo jamaa yake alikuwa analala wapi? Hakuwa hata na kabati?
Mjini kuna kitanda na KITANDA baba hahahaaa
Kitanda-ni kile anachochonga fundi seremala wa mtaani kwenu bei yake haizidi laki 3 kwa Dar
KITANDA ni kile kinachotokea maduka makubwa ya furniture na bei yake haipungui 1M kwenda juu sasa sijui unauliza kipi hapo
 
Hivi mwanamke kupigwa vinane nani anapoteza nguvu? Nani anapata raha zaidi? Nani anatakiwa kulipwa baada ya shughuli kama kigezo in WORK DONE=FORCE x DISTANCE (nani anasukuma, nani anasogea) OR WORK DONE = POWER x TIME TAKEN?
Wanaume acheni upumbavu, mngekua mnajua mnapoteza nguvu na hakuna raha mnayoipata msinge tafuta wanawake kwa gharama kubwa,inashangaza sana wanaume wa siku hiz eti raha tunapata wote!! Sawa raga tunapata wote na kwann wewe mwanaume unakua wa kwanza kunitafuta kuitaka iyo raha ambayo kazi unafanya wewe malipo natakiwa kulipwa mie.
 
Kumbe raha nyingi mnapata nyinyi??
 
Duh, kitanda Sawa na bei ya boda boda
 
Wengine ili kumpata inabidi uhonge makabati vitanda ada hewa za shule nk ndio unagonga mzigo sasa kama mnaachana mizigo ya nn tena wewe sepa kama ulivyo katafute papuchi nyingine uhonge ule mambo
 
Jidanganye muraa..labda kama hujakutana nao,na ukicheza nae anakutoa duniani
Mwanamuke asipokupenda Unamutema tu Muraa, Arafu bora ukaoe nyumbani musoma, kuriko wanawake wa mujini muraa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…