Wanawaita viwanaume vya dar

Dah kuna watu hawapo serious kabisa
 
nani kakuambia tarime kuna wanawake? wote wanaume kule na wanapeana mimba wanaume,yani wanaume wa tarime wanauwezo wa kushika mimba ndo mana wanazaa watoto jasiri sana. Tarime ni viumbe wengine bhana acha mchezo na tarime bhana sisi tarime wote ni wanaume tunabeba na mimba juu ndo mana product zetu kalii.
 
Wanaume wa dar hata kuongea kwao unakuta wanabana pua kama watoto wakike.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…